Wahi chooni unywe mkojo wako
Wahi chooni unywe mkojo wako
Mkuu mbona unachekesha lile limnyoka likubwa mbona uliogopi unaogopa haka kadogo rangi ya kijanidu naogopa sna hayo madudu. leo ntalala kimagutu magutu,pole mkuu..
Pole mkuu, Mungu akupe ahueni.Nipo hospitali nimehudumiwa na kupatiwa kitanda nimetundikiwa maji baada ya sindano mbili. Nilikua nmevaa sandals usiku huu natoka kupaki gari jirani tu na napokaa. Naendelea vyema