P pee-pee Member Jan 28, 2010 13 2 Feb 2, 2010 #1 am a new member jmn in dc forum lookin forward to hv nice cooperation with you mnipokee kwa uzuri
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Feb 2, 2010 #2 Naam...umepokelewa. Upo mikononi salama mwa wakaanga sumu maarufu. K'r'b.
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Feb 2, 2010 #4 jina lako kwa kiswahili ni nini?...ila karibu sana mimi ndio mhudumu wa vinywaji unakunywa nini?
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,277 105,477 Feb 2, 2010 #5 viwanja fulani fulani pee-pee ni jina la mkojo, hasa kwa watoto.