Wanajamii forums tunzeni haya maneno.

Kila la heri mtoa mada, pambania kila unachoamini, japo namna ya kukipambania inaweza isitufurahishe wote ila as long as you're the one riding, endelea!

Kule kwetu wanasema, ukimaliza futa mdomo, sijui kwa nini hawakusema nawa mikono.
Ni kweli namna ya kufikia azma siyo ya kufurahisha lakini ni necessary na matunda yake ni makubwa na influencial kwa wengine
 
Na umemshauri vyema sana.
 
Hilo linawezekana,ila ikiwa Tu kuwa wewe sii mwananshomile,kwani akina nshomile kuna wakati wanajifariji zaidi ya uhalisia wa vile inawezekana
 
I use to second this positive frequency in the quantum field where everything behave as a wave. I can sense my inner being sparked sparingly in a marvelous way ever noted before.

You deserve it Brethren
 
Iam too old for your dramaz.

Kama nilichoandika ni kibaya nisamehe,nimefutaπŸ™πŸ™
You took it so serious😎
Sasa kwani kuna mwanamke mwingine naye patana naye humu kama wewe?

prida don't be soo fast to judge.
 
I use to second this positive frequency in the quantum field where everything behave as a wave. I can sense my inner being sparked sparingly in a marvelous way ever noted before.

You deserve it Brethren
Indeed we all are deserving of everything we want in life
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…