Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,758
- 42,874
Hata ww mkuu unamtqzamo kama wa @malaria2 ?!Wengi wanaosema hivi wako desperate.
Wakiongozwa na Mange Kimambi na Maria Sarungi.
Hata ww mkuu unamtqzamo kama wa @malaria2 ?!Wengi wanaosema hivi wako desperate.
Wakiongozwa na Mange Kimambi na Maria Sarungi.
Wewe umesharukia false dichotomy logical fallacy kwamba kila anayewasema wanaharakati kwa ujinga wao basi ni mwana CCM mfuasi wa Samia.Wewe na mamayenu ndio mko desperate pamoja na mleta post aliyeaga jf Cha ajabu amejiridisha mwenyewe Kwa ujinga wake kama alivyo mama yenu huko ccm.
Kwenye nini?Hata ww mkuu unamtqzamo kama wa @malaria2 ?!
Mtoe kupitia social media mara ngapi mnatumia social media na bado mnafeli?Tanzania kuna nini cha kupiga? Yaani USA wapige bomu ili kumwondoa Samia madarakani? Trump leo akitaka Samia aondoke kesho hatakuwepo, tena kwa kutumia social media tu.
sio wanaharakati tu gentleman kama akina mlevi kitima,Wanataka Marekani aingilie Tanzani. Wanasahau wakiingilia kama Iran majengo ya chadema na afisi za wanaharakati nyingi zitapigwa drone
Daa, pole sana. Umedandia bila kujua hata nilichomaanisha.Mtoe kupitia social media mara ngapi mnatumia social media na bado mnafeli?
Hata wewe mpumbavu unashabikia Iran inayofadhili ugaidi duniani.Mimi sio Ccm na wala sisapoti utawala huu hata kidogo ila sisapoti wanaharakati uchwara wachumia tumbo wapuuzi na wake wa marekani wapumbavu mnapigania haki vivyo hivyo mnasapoti uvamizi wa Marekani nchi Iran wapumbavu nyie
Safi sana hiiMalaya ni mamayenu anayetembea na chivayo.
Wanaharakati wa wapi wanaojitambua? Iran?Wanataka Marekani aingilie Tanzani. Wanasahau wakiingilia kama Iran majengo ya chadema na afisi za wanaharakati nyingi zitapigwa drone
Kama inawezekana waje tuu, mmeiba uchaguzi nchi nzima then mkaua maelfu ya watu wasiokuwa na silaha, hata mkoloni hakuwa mshenzi katili kama hilo malaya na CCMWanataka Marekani aingilie Tanzani. Wanasahau wakiingilia kama Iran majengo ya chadema na afisi za wanaharakati nyingi zitapigwa drone
Raia wengi wamekata tamaa na hawaoni namna yoyote CCM itakubali kuondoka madarakani kwa njia ya sanduku la kura kupitia uchaguzi ndio maana wengine wanafikia kusema hewala liwalo na liwe tu.Kwenye nini?
Mtazamo wangu kwamba wanaharakati wa Tanzania wanaolilia Marekani ije iingilie mambo ya Tanzania hata kijeshi ulikuwa hivyo kabla ya kuona thread hii.
Na huyo Malaria 2 mpaka sasa hata simjui.
Nachangia mada kwa kuangalia hoja, si kwa kuangalia nani katoa hoja, mtoa hoja hata simfahamu na pengine kuepukana na kuchangia kwa kasumba, ni vizuri nisiangalie mtoa mada ni nani nijikite kwenye mada. Bika ya kuwa biased kwa kuangakia hii mada kaitoa rafiki yangu au adui yangu, nianze kuunga mkono au kulinga mada kwa sababu ya kuangakia kaitoa nani, badala ya kuangalia hoja.
Nimeona Mange Kimambi na Maria Sarungi waki post ujinga huu kwa desperation tu, nikasema huu ujinga. Wakati Marekani inaanza kushambulia Venezuela na Iran.
Kabla ya uzi huu kuwapo.
Mimi nachangia hoja, sichangii kwa kuangalia nani katoa hoja.
Chanhia hoja, usichambue mtoa hoja badala ya kuchangia hoja.
Kuchambua mtoa hoja negatively badala ya kuchambua hoja ni logical fallacy.
Inaitwa ad hominem fallacy.
kikinuka hapa wa kwanza kuumia ni wanayemuita "mtanzania mnyonge"Raia wengi wamekata tamaa na hawaoni namna yoyote CCM itakubali kuondoka madarakani kwa njia ya sanduku la kura kupitia uchaguzi ndio maana wengine wanafikia kusema hewala liwalo na liwe tu.
Mmoja wa magaidi ni baba yako na bibi yako? Brainwashed shitholeHata wewe mpumbavu unashabikia Iran inayofadhili ugaidi duniani.
Wanaharakati wajinga nyieDaa, pole sana. Umedandia bila kujua hata nilichomaanisha.
Wanataka Marekani aingilie Tanzani. Wanasahau wakiingilia kama Iran majengo ya chadema na afisi za wanaharakati nyingi zitapigwa drone
Punguza povu hilo dogo.Mmoja wa magaidi ni baba yako na bibi yako? Brainwashed shithole