Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,925
- 30,273
Imekuwa kawaida vyombo vinapokuja kunihoji kuhusu masuala ya historia wale wanaonihoji husikia historia ambazo hawakupata hata siku moja kuzisikia wala hawakusomeshwa si shule ya msingi, sekondari au chuo kikuu.Basi tunapomaliza mahojiano huwa wananiuliza maswali mengi sana kiasi husema kuwa itafaa warejee siku nyingine kwa kipindi maalum cha historia ya Tanzania.
Huwa kama hivi:
View: https://youtu.be/cK59l8GSmWA