Mwanaasha ni rafiki wa jeesika.jk tena oooook
aliyenacho anaongezewa zaidi.Wote watoto wa kishua..Ingekuwa vijana kutoka sitimbi hapo sawa!
Kwa sie tuaolea watoto wetu kwa kula ugali na ngogwe kupenya hizi anga ni ndoto...
Mbona husemi kama ilikuwa ni event ya waislam!??