Wanafunzi wa Kitanzania wang'ara Marekani

Tina

JF-Expert Member
Jul 9, 2007
572
579
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya kimataifa Feza wakiwa na furaha nchini Marekani baada ta kushinda medali za dhahabu kwenye mashindano ya Genius Olympiad. Kushoto ni Abdulrazak Juma Mkamia wa pili Rashid Jakaya Kikwete na watatu ni Abdalah Rubeya yaliyoshirikisha nchi zaid 63 duniani huko Marekani juzi.

 
Kama wanapewa mazingira mazuri kwann wasifanye vzuri.. Cha ajabu walioenda kwenye hayo mashindano hakuna mwanafunzi aliyetoka shule za kata.. Mwisho wa siku tutawaona wao ndo ma genious kumbe kuna magenious wengi tu ambao hawajapewa fursa ya kuonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…