Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (watatu kushoto) akiwa kweny picha ya pamoja na washindi wa Medali za Dhahabu katika mashindano ya Kimataifa ya Mazingira na Sayansi yaliyo fanyika hiv karibun nchin Marekani.kushoto ni Mkurugezi wa Shule za feza Mr Ibrahim yunus kulia Mhe Hawa Ghasia anayefata kulia ni Abdulrazak juma Mkamia Abdalah Rubeya na Rashid jakaya kikwete wakiwa ofisin kweke mjini Dodoma