Tetesi: Wanafunzi wa Chuo Kikuu Muhimbili (MUHAS) kugoma

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Ni taarifa kutoka chuo cha afya muhimbili, MUHAS,

Muda wowote wataandamana kwenda bodi ya mikopo kutokana na kucheleweshewa hela za kujikimu, maarufu kama boom.

Inasemekana kuwa pesa hizo walitakiwa wapewe katikati ya mwezi huu wa sita lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika, na hawajuwi ni lini watapewa hela hizo.

Wameendelea kuambiwa kuwa wavumilivu hadi serikali itakapotoa pesa siku ambayo haijulikani.
 
wale jamaa juzi wamejizindua wana hamu ya kuonyesha how it work kwamba mwendokasi ni kazi tu
 
Wajiangalie jamaa asije akawafuta akasema anaangalia upya matokeo yao ya Kidato cha Nne na Sita
 
Wagome waone kama hatujawarudisha majumbani mwao halafu hapo tukawaleta wanafunzi wa VETA tuwafundishe hu Udaktari.
 
Tangu kiongozi wa mgomo wa madaktari ateuliwe kuwa katibu wa CHADEMA nimekuwa muangalifu sana kushangilia hii migomo maana sio yote ni kutetea maslahi ya wagomaji mingine ni kutumiwa tu!
 
Aaah alishawabip watu fulan mwenye inchi akasema alikuwa anawasubiri walipuke tu wangewaka chuo kizima!!
Handle it with care & shake well before use since it is unfit for human consuption however kipendacho roho hula nyama mbichi.
Harahara kidole na jicho guys!!!
Haahahaa.
Mkuu umenikumbusha mbali. Shake welll before use. It is not for human consumption. Hahahahaha. Kuna mwalimu wangu alikuwa akitumia hili neno mara kwa mara kuonyesha wanafunzi walivyo vi.la.za
 
Ni taarifa kutoka chuo cha afya muhimbili, MUHAS,


Muda wowote wataandamana kwenda bodi ya mikopo kutokana na chuleleweshewa hela za kujikimu, maarufu kama boom.

Inasemekana kuwa pesa hizo walitakiwa wapewe katikati ya mwezi huu wa sita lakini hadi sasa hakuna kilicho fanyika, na hawajuwi ni lini watapewa hela hizo.

Wameendelea kuambiwa kuwa wavumilivu hadi serikali itakapotoa pesa siku ambayo haijulikani.
Nipo hapa.Wanasema tu,hakuna mwenye ubavu huo.Tawala zimzbadilika.Unaweza kugoma kwasababu ya BOOM,then ukapoteza both BOOM na CHUO.
 
wajiandae kupiga selfy na police maana police wamekuwa soft sana cku hizi wanasaidia mpaka kusukuma gari????
 
Back
Top Bottom