shida yako ni nin hasa:
1. Kwamba ni viziwi?
2. Kwamba wanatokea Dodoma?
3. Kwamba wana umri umri wa miaka 13 & 14?
4. Kwamba wamepeana ujauzito?
Nini hasa?
mimi sina shida,shida yako ni nin hasa:
1. Kwamba ni viziwi?
2. Kwamba wanatokea Dodoma?
3. Kwamba wana umri umri wa miaka 13 & 14?
4. Kwamba wamepeana ujauzito?
Nini hasa?
Hawa watoto viziwa sijui waliongeaje mpaka wakakubaliana na pia umri walio nao unaonekana ni mdogo sana! Na vipi kuhusu nidhamu na maadili ndani ya shule? Kuna ufuatiliaji wa kutosha? Au tu ndo tuishie kushangaa na kulaumu hao watoto?
Shida yake ni kwamba THEY ARE FU.CKI.NG YOUNG!!!!!!!!!!! Damn! 14 &13 people! Haloooooooooooo! Thats UNACCEPTABLE for crying out loud!!!!!!!!!
Ngono ni hisia haina cha uremavu.chakusikitisha ni umri mdogo sana jambo ambalo ni mzigo
Shida yake ni kwamba THEY ARE FU.CKI.NG YOUNG!!!!!!!!!!! Damn! 14 &13 people! Haloooooooooooo! Thats UNACCEPTABLE for crying out loud!!!!!!!!!
anajitia zuzu hajui,maudhui ya habari