Waziri Ndumbaro aliunda tume ya Mwakyembe mwaka jana kutafuta suluhu ya matokeo mabovu Law School.
Ikumbukwe (kipindi hicho) wadau mbali mbali walilivalia njuga vilivyo suala la matokeo mabovu shuleni hapo.
Majaji waliunda tume yao ambayo waziri Ndumbaro aliwahakikishia suluhu, na kuwa hawakuwa na haja ya kuendelea jitihada zao.
Tume ya Mwakyembe ilikusanya maoni na kuja na yake. Post #2 na #3 ni moja ya maoni yaliyowasilishwa kwa Mwakyembe kama yalivyo.
Kwamba matokeo ya leo ni mabovu kuliko ya yaliyopelekea tume ya Mwakyembe kuundwa:
1. Tume hiyo kumbe ilikuwa ya kazi gani?
2. Pesa za mlipa kodi zilizotumika kwenye tume hiyo kumbe zilitupwa bure?
3. Kwa nini waziri angali ofisini?
Bila aibu waziri alikuwa bungeni kuwasilisha ya kwake kana kwamba hakujatokea kitu. Huku ni kuwakejeli wananchi.
Shit hole countries hazina utamaduni wa kuwajibika. Bila kuwachukulia hatua hawawezi kufahamu wapo kuwajibika na si kumcheza mtu shere.
Waziri huyu awajibishwe kwa kushindwa majukumu yake.
Ieleweke hakuna shule wanayokwenda kusomea kufeli.
Ikumbukwe (kipindi hicho) wadau mbali mbali walilivalia njuga vilivyo suala la matokeo mabovu shuleni hapo.
Majaji waliunda tume yao ambayo waziri Ndumbaro aliwahakikishia suluhu, na kuwa hawakuwa na haja ya kuendelea jitihada zao.
Tume ya Mwakyembe ilikusanya maoni na kuja na yake. Post #2 na #3 ni moja ya maoni yaliyowasilishwa kwa Mwakyembe kama yalivyo.
Kwamba matokeo ya leo ni mabovu kuliko ya yaliyopelekea tume ya Mwakyembe kuundwa:
1. Tume hiyo kumbe ilikuwa ya kazi gani?
2. Pesa za mlipa kodi zilizotumika kwenye tume hiyo kumbe zilitupwa bure?
3. Kwa nini waziri angali ofisini?
Bila aibu waziri alikuwa bungeni kuwasilisha ya kwake kana kwamba hakujatokea kitu. Huku ni kuwakejeli wananchi.
Shit hole countries hazina utamaduni wa kuwajibika. Bila kuwachukulia hatua hawawezi kufahamu wapo kuwajibika na si kumcheza mtu shere.
Waziri huyu awajibishwe kwa kushindwa majukumu yake.
Ieleweke hakuna shule wanayokwenda kusomea kufeli.