Wanafunzi kukacha kidato cha 5 & 6 na kujiunga Vyuo vya Diploma, tatizo ni nini?

Advance ni kwenda kukua na kama hujielewi unaenda kupotea. Advance inahitaji determination, Chuo cha kati ni kwenda kupata uhuru katika umri mdogo ila kinataka uwe unatambua career path inahitaji nini haswa.
Aidha, chuo cha kati kinajenga watendaji wa kiwango cha kati waliokomaa. Kwa mtoto atakayeelemewa kwa uhuru wa bila kuchungwa atageuka kuwa mzimu wa kolelo.
Sahihi kabisa, nimejaribu kuchunguza madhara ya kuruka hatua katika elimu niliona suala la kukosa reasoning, advance ni sehemu ambayo mtoto hujenga reasoning kwa sababu hutoa wigo wa kujadili na kila mtu hujiona fundi lakini kwenda moja kwa moja diploma inategemeana baadhi ya course vijana wanapoteana kabisa maana hupoteza uwezo wa kuhoji na kujenga hoja... Rejea watumishi wengi haswa walimu wenye diploma uwezo wa kujenga hoja upo chini thinking ipo chini! Kuna siku niliona maamuzi ya mwalimu mkuu mmoja hivi ni kituko Yani unajiuliza katumia Nini kufikiri! Kama mwanao akipata chance ya kwenda advance mpeleke ili akili ikomae then fanya selection nzuri ya course ya kusoma chuo utaona majibu yake
 
Nakuchukia sana ila hapa kwa nikkki wa pili umenichekesha daaaah mama zuri mameneja wanamsugua tu daaah

We Countrywide ulitia fora kwakweli na kumsifia kote huko daaaaah aseee

Sema amejifunza aache kuanika anika wachumba zake wahuni tunakojoa tunasepa
na mimba juu wakampachika,. Yeye akawa analea shahawa za mwanaume mwenzie, km sio ukhanithi nn??
 
Hapana dada cocastic,labda kama Kliniko ofisa
Lakini kwenye uhandisi na mwenye FTC/Diploma ya DIT au MUST/ATC, siwezi kuamini au labda mitaala ya chuo kikuu ya kibongo ni magumashi kwenye engineering
Unasomea nini?
wee jua hivyoo
 
wee jua hivyoo
Kwanza sema unasoma kozi gani, tuichakachue
Kwahiyo,ukimaliza hiyo degree yako ya uhandisi huko UDSM, zaidi ya kujibu maswali magumu yasiyo na umuhimu wowote na hautayakuta kwenye kazi, unataka kusema unatoka huku unajua kutumia hizo CAD software,MINITAB,na MATLAB?,kuzidi yule aliyezitumia tokea diploma ya uhandisi na kundelea nazo chuo?
 
Sahihi kabisa, nimejaribu kuchunguza madhara ya kuruka hatua katika elimu niliona suala la kukosa reasoning, advance ni sehemu ambayo mtoto hujenga reasoning kwa sababu hutoa wigo wa kujadili na kila mtu hujiona fundi lakini kwenda moja kwa moja diploma inategemeana baadhi ya course vijana wanapoteana kabisa maana hupoteza uwezo wa kuhoji na kujenga hoja... Rejea watumishi wengi haswa walimu wenye diploma uwezo wa kujenga hoja upo chini thinking ipo chini! Kuna siku niliona maamuzi ya mwalimu mkuu mmoja hivi ni kituko Yani unajiuliza katumia Nini kufikiri! Kama mwanao akipata chance ya kwenda advance mpeleke ili akili ikomae then fanya selection nzuri ya course ya kusoma chuo utaona majibu yake
Ingawa una hoja lakini mfano wako unaweza kuwa irrelevant hapa.

Ufaulu wa kidato cha nne ni muhimu sana, lakini hain maana kuwa wanaofaulu kidato hicho ni werevu sana dhidi ya wanaofeli.

Mazingira yanayomzunguka mtahiniwa kuanzia kidato cha kwanza mpaka ch nne ndiyo yanayoamua kwa kiwango kikubwa.

Waalimu, askari wengi, qualifications za kujiunga zilikuaje enzi hizo? Unaweza kuwalaumu?

Kwenye mjadala wa Diploma au A-level, ni lazima uelewe, soko limetawaliwa na graduates wa vyuo vya kwanza kabisa hapa TZ, IDM, UDSM, IFM na wale waliosoma nje! Hivyo huo mfumo kuuvunja ni sawa na kuiondoa CCM madarakani kwa sasa!

Diploma ni bora sana kwasasa; tunaweza ku-reschuffle kidogo tu ikawa Diploma iwe ni sehemu rasmi ya mtaala wetu, tukaiondoa A-level

Primary - miaka 5
Secondary - miaka 4
Diploma - miaka 4
Degree- miaka 3/4/5/7
 
Sahihi kabisa, nimejaribu kuchunguza madhara ya kuruka hatua katika elimu niliona suala la kukosa reasoning, advance ni sehemu ambayo mtoto hujenga reasoning kwa sababu hutoa wigo wa kujadili na kila mtu hujiona fundi lakini kwenda moja kwa moja diploma inategemeana baadhi ya course vijana wanapoteana kabisa maana hupoteza uwezo wa kuhoji na kujenga hoja... Rejea watumishi wengi haswa walimu wenye diploma uwezo wa kujenga hoja upo chini thinking ipo chini! Kuna siku niliona maamuzi ya mwalimu mkuu mmoja hivi ni kituko Yani unajiuliza katumia Nini kufikiri! Kama mwanao akipata chance ya kwenda advance mpeleke ili akili ikomae then fanya selection nzuri ya course ya kusoma chuo utaona majibu yake
Kwani maprofesa wa kibongo wana maaumuzi gani ya maana .
 
Vijana wengi wanaosoma shule za kata wanaopasua kwenda Advance wanafanya vizuri sana huko ila hawa wanaotoka Egsschool wengi wao wanakwepa Sana kwenda Advance lakini yote ni kwamba aliepitia Advance na akaenda chuo kwenye soko la Ajira baadhi anapewa kipaumbele zaidi kuliko aliepitia Diploma ukiondoa wizara ya afya na Elimu huku kwingine Advance ina radha yake
 
Kwanza sema unasoma kozi gani, tuichakachue
Kwahiyo,ukimaliza hiyo degree yako ya uhandisi huko UDSM, zaidi ya kujibu maswali magumu yasiyo na umuhimu wowote na hautayakuta kwenye kazi, unataka kusema unatoka huku unajua kutumia hizo CAD software,MINITAB,na MATLAB?,kuzidi yule aliyezitumia tokea diploma ya uhandisi na kundelea nazo chuo?
tupo nao hukuu yaan utadhan huko diploma walisoma vingine, yaan wapo km wapyaaa, tupo sawa tyuuh.
 
Wengi wanaogopa ugumu na kuwa na tamaa ya kupata hela mapema

Lakin niwashauri hawa madogo advance inaheshima zake na pia kwenye maisha amini hakuna shortcut

Ukileta shortcut lazima kuna sehemu utakwama

Na sahv life lilivyo unaweza kukwepa advance ili ukwepe ugumu na uwah kupata pesa lakin hvyo vyote ukavikosa,magumu utayapitia tu na pesa utachelewa kuipata vile vile
Nakataa point yako mkuu haina nyama ya kumshawish mtu aelewe umuhimu wa kwenda Advance level
 
Back
Top Bottom