Alikuwa Mfanyakazi wa TIRDO kama miezi 4 iliyopita na alikumbwa na mkasa mkubwa wa ubadhirifu wa pesa, baada ya hapo alisimamishwa kazi na mwisho wa siku alitimuliwa kabisa.............. sasa anatimua kigezo na fursa ya kujulikana na walinzi na kisha anawatapeli watu maeneo ya hapa Ofisini, wanafunzi wengi wamekuwa wakitapeliwa na kuliwa pesa zao kiasi kikubwa sana kwani mwanafunzi mmoja Tsh 250,000. mwisho wa siku wakija kuuliza kuhusu huyu bwana hapa Ofisini..... wanabaki na taharuki kwamba si mfanyakazi wa hapa na wala Board haimtambui....tahadhari kubwa natoa kwani malalamiko ni mengi ya aina hii.........