Wanafumzi wa vyuo na mapedeshhee

Hii ni kweli kabisa lakini hii yote zaidi inachangiwa na ugumu wa maisha unaikabili nchi yetu, na ni tabia ya wanafunzi wa vyuo karibia vyote. Unakuta ana dereva teksi, pedeshee hasa hao wafanyakazi ambaye anamuhudumia kila kitu na mwanafunzi ambaye anakuwa na msaada wa kimasomo. Hii yote inachangiwa zaidi na tamaa pia..
 
wewe unafanya kazi wapi?au uko zantel?unaonekana una hamu nao na wewe lakini kutokana na unapofanyia kazi unashindwa kuwapata[/QUOT

TEHE TEHE TEHE TEHE TEHE TEHE TEHE TEHE TEHE..............................KUMBE VIBABU VIPO HUMU HUMU HAYA BANA MI NIPO NJE KIDOGO
 
Back
Top Bottom