Wala si mchokozi Huo ndio ukweli haswaa, mwanamke unapokua na mahusiano na mwanaume hasa relationship inayo focus mbali unajikuta unajitwika mizigo mingi sana, unachukua nafasi ya mama yake, rafiki zake,ndugu zake,na zaidi unakua mpenzi wake! Hiyo kumpikia ni jukumu la mama yake lakini madhari umejitwika wewe basi unalibeba tu,utampikia utamfulia utamfanyia kila aina ya madoido ili akuamini kwamba you can handle him with all duties you have! Sema nini haya mambo muyafanye kimapenzi zaidi na si kukomoana au uyafanye kwa sifa, mwanaume anayekupenda pamoja na kujitolea koote huko hatokubali ufeli,atakuhimiza mambo mengi tu na kujaribu kukuonyesha maisha nje ya yeye, nashukuru nilimaliza chuo japo si kwa first class