UTAFITINani kabaini?
Ni ukweli mtupu! Wengi tumefanya hivyo kwa ajili ya kujiwekea nafasi nzuri kwa boyfriend zetu japo mwisho wa siku pengine hawakua wetu na sasa unafanya maisha na wengine, hili jambo lipo halikwepeki kwa sasaIs what East Africa Redio broadcasted HEARSAY or TRUE ? .....
Miss Chaga
Sky Eclat
Heaven sent
Patience
Aishah
Valentina
Atoto ........ nk
Njooni huku mtujuze
Yaan watengeneza "mazingira mazuri" afu mtarajiwa mwenyewe "anasepa" ..... some guys aren't considerate ..... by the way poleniNi ukweli mtupu! Wengi tumefanya hivyo kwa ajili ya kujiwekea nafasi nzuri kwa boyfriend zetu japo mwisho wa siku pengine hawakua wetu na sasa tupo kwenye maisha na wengine
Ukijifunza kwamba si kila mahusiano huzaa ndoa hiyo haitakupa shida to let him/Her Go...Yaan watengeneza "mazingira mazuri" afu mtarajiwa mwenyewe "anasepa" ..... some guys aren't considerate ..... by the way poleni
Exactly .... though letting someone go really takes time and when you do the scar remains there .... na hasa kama ulikuwa umempa nafasi pale UVUNGUNI mwa moyo wakoUkijifunza kwamba si kila mahusiano huzaa ndoa hiyo haitakupa shida to let him/Her Go...
Hahaha [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Mbona kawaida iyo ata apa naingia class nimemwacha mchumba anafanya usafi nikitoka naenda kumpigisha msuli tabu iko wap
Chuo kuhudhuria lecture sio guarantee ya kufaulu, zinduka weweSidhani kama ni kweli kwa sababu kinamchomuweka mwanafunzi chuoni ni kufaulu vizuri course work, sasa kama haendi darasani ambako kunatolewa assignments na tests ambazo pia zinakuwa counted kwenye course work atafaulu vipi, labda kama hicho chuo kina mfumo tofauti wa kuwa assess wanafunzi.
ulikuwa unapika?Ni ukweli mtupu! Wengi tumefanya hivyo kwa ajili ya kujiwekea nafasi nzuri kwa boyfriend zetu japo mwisho wa siku pengine hawakua wetu na sasa tupo kwenye maisha na wengine