Wanachuo pitieni hapa mnipe mbinu mwenzenu

Wanachuo pitieni hapa mnipe mbinu mwenzenu

Mbona kila kitu hapo ni easy sana.
Muhimu tu ni maelezo ya aliyekuwa kama Mwajiri wako huko Field na Muhuri umemaliza
 
Nje na haya masomo ya Chuo kuna kazi ambazo huwa nazifanya ambazo huwa zinaniweka busy muda wowote ambao ninakuwa niko free.

Kama sio wazaz kulazimisha kuja Chuo nisinge kuja kabisa maana nilikuwa na uhakika wa kuingiza kipato kizuri tu kwa siku.

Kuna muda kama wa likizo na weekends ambazo huwa ni siku nzuri sana za kufanikisha hizo shughuli zangu nje na masomo.

Nahitaji kutumia pia muda wa Field kuendeleza shughuli zangu. Naombeni mwenzenu mnipe mbinu ambazo naweza kutumia kukwepa hii Field na kuutumia muda huo kuendeleza kile ambacho nina kiamini

Note: 1. Ufwatiliaji wa Field work katka hiki chuo chetu hakuna. Kwahiyo kama kutakuwa na njia yyte ya kukwepa au kuForge naombeni msaada.

Hiki ninachokisoma nikwamba nimelazimishwa tu, hakuna future yyt ninayoiona huku, so sioni umuhimu wa Field kabisa.
Very simple, jifelishe mitihani yote watakudisqualify.. utarudi home kufanya shughuli zako kwa uhuru na wazazi wataelewa kuwa masomo yalikushinda
 
Very simple, jifelishe mitihani yote watakudisqualify.. utarudi home kufanya shughuli zako kwa uhuru na wazazi wataelewa kuwa masomo yalikushinda
Hapa si ndo nitaonekana mbumbumbu kabisa.... Bora ni drop out kuliko kuDisqualified
 
Field mnapangiwa location au mnachagua wenyewe ?
 
Basi chagua uende palipo na shughuli zako
Unaelekea ninapopataka.... Ila ninachokitaka nikifika huko nisifanye hiyo Field bali kile ambacho nimepanga kukifanya, tatzo ni jinsi gani naweza nikafanya hivyo bila Field kuwa kikwazo (in layman, nataka njia ya kuForge hiyo Field)
 
Unaelekea ninapopataka.... Ila ninachokitaka nikifika huko nisifanye hiyo Field bali kile ambacho nimepanga kukifanya, tatzo ni jinsi gani naweza nikafanya hivyo bila Field kuwa kikwazo (in layman, nataka njia ya kuForge hiyo Field)
Tafuta ofisi uchwara isiyo na complications kibao, ofisini unaenda mara 2 kwa wiki na hata ukienda unarudi home saa4.

Field ikiisha unajaza tu hiyo miform yao unarudisha.
 
Tafuta ofisi uchwara isiyo na complications kibao, ofisini unaenda mara 2 kwa wiki na hata ukienda unarudi home saa4.

Field ikiisha unajaza tu hiyo miform yao unarudisha.
Shukrani Mkuu,
Hili nitalifanyia kazi.
 
Human Resources
Kwani human resource sio kozi nzuri? We kakwambia nani? Hamna kozi mbaya na hamna kozi ambayo hautatoboa ni vile utaratibu wa upatikanaji kazi umekua mpka connection.
Muulize mtu aliemaliza chuo mwaka huu kama ana logbook ake akupe ukopi kazi zake alizokua anafanya uziandike ila itahitajika muhuri wa ulipofanyia field. Bora uende hata week moja then chukua karatasi zako zote zigonge muhuti afu utakua unajaza moja moja home

Mpka unafanya field it means upo second year na mwakani unamaliza chuo kwann usisubiri umalize upate cheti chako maana you never know mungu kakupangia nini miaka miwili ijayo afu after chuo.

kuwa na subira utatoboa. Shortcut kuna mda zina mwisho mbaya
 
Kama kuna kitu unafanya ambacho kitakusaidia kutatua matatizo bro nakushauri acha chuo to be honest mi niko chuo and mwakani namaliza lakini kuwa mkweli tu skuiz degree haina msaa kiivo.
Kama una kipaji au ujuzi au biashara unaifanya endelea nayo tu utafika mbali.
 
Ukikosa nidhamu hakuna mahala patakuwa salama kwako
Maliza shule hzo Pesa zipo tu
Acha hanasa za Pesa
Nje na haya masomo ya Chuo kuna kazi ambazo huwa nazifanya ambazo huwa zinaniweka busy muda wowote ambao ninakuwa niko free.

Kama sio wazaz kulazimisha kuja Chuo nisinge kuja kabisa maana nilikuwa na uhakika wa kuingiza kipato kizuri tu kwa siku.

Kuna muda kama wa likizo na weekends ambazo huwa ni siku nzuri sana za kufanikisha hizo shughuli zangu nje na masomo.

Nahitaji kutumia pia muda wa Field kuendeleza shughuli zangu. Naombeni mwenzenu mnipe mbinu ambazo naweza kutumia kukwepa hii Field na kuutumia muda huo kuendeleza kile ambacho nina kiamini

Note: 1. Ufwatiliaji wa Field work katka hiki chuo chetu hakuna. Kwahiyo kama kutakuwa na njia yyte ya kukwepa au kuForge naombeni msaada.

Hiki ninachokisoma nikwamba nimelazimishwa tu, hakuna future yyt ninayoiona huku, so sioni umuhimu wa Field kabisa.
 
Nje na haya masomo ya Chuo kuna kazi ambazo huwa nazifanya ambazo huwa zinaniweka busy muda wowote ambao ninakuwa niko free.

Kama sio wazaz kulazimisha kuja Chuo nisinge kuja kabisa maana nilikuwa na uhakika wa kuingiza kipato kizuri tu kwa siku.

Kuna muda kama wa likizo na weekends ambazo huwa ni siku nzuri sana za kufanikisha hizo shughuli zangu nje na masomo.

Nahitaji kutumia pia muda wa Field kuendeleza shughuli zangu. Naombeni mwenzenu mnipe mbinu ambazo naweza kutumia kukwepa hii Field na kuutumia muda huo kuendeleza kile ambacho nina kiamini

Note: 1. Ufwatiliaji wa Field work katka hiki chuo chetu hakuna. Kwahiyo kama kutakuwa na njia yyte ya kukwepa au kuForge naombeni msaada.

Hiki ninachokisoma nikwamba nimelazimishwa tu, hakuna future yyt ninayoiona huku, so sioni umuhimu wa Field kabisa.
Nina mashaka unafanya shughuli haramu Tena za uhalifu. Kama kweli unachokifanya ni halali na kinakusaidia kwenye maisha umeshindwaje kuwaeoewesha wazazi? Ikiwa hata kuwapeleka kwenye hiyo shughuli yenyewe?

Kazi yoyote ile inahitaji elimu ya darasani, hata Kama umeshapata ujuzi, elimu itakusaidia kupangilia Mambo na kufanya kazi kwa ubunifu zaidi tofauti na mtu ambye hajaenda shule. Kwa mfano uuzaji wa genge, mtu ambaye hajaenda shule atakavyouza genge tofauti kabisa na m aliyeenda aliyenda shule, kuanzia ununuzi, upangaji wa vitu na hata namna ya kuvutia wateja.

Sasa wewe unafikiria kuforge field, kwanza fojari yoyote ni kosa la jinai na unashitakiwa na unafungwa. Je Kama akili yako inafikiria kufoji, je hiyo kazi unayodai inakupa maslai si ya kufoji kweli? Pili unafcha kazi yenyewe.
Mwisho Mimi naona wewe ni muhalifu tu na Wala hata chuo hujafika ila unatafuta mawazo ya kuongeza uhalifu wako.
 
Back
Top Bottom