Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Hayo yaliyofanywa na CCM Mbeya na Magufuli ni Uzalilishaji na Ukiukaji wa Haki ya Mtoto.
Angalia huyu mtoto anavozalilishwa mbele ya umati huu. Badala ya Mtoto kuwa darasani amekodishwa na Serikali ya CCM kumburudisha Magufuli na kuvutia umati kwene Kampeni.
Shame on you CCM.
Angalia huyu mtoto anavozalilishwa mbele ya umati huu. Badala ya Mtoto kuwa darasani amekodishwa na Serikali ya CCM kumburudisha Magufuli na kuvutia umati kwene Kampeni.
Shame on you CCM.