DAGAA WA MWANZA
Senior Member
- Jan 27, 2019
- 169
- 464
Nimemsikiliza huyu mama aisee anafaa kabisa kuwa mtumishi wa wananchi siyo muoga na mchumia tumbo atawafaa Wanachato.
Mama nimemkubali sanaMiaka Hii halafu mtu bado anadinda Chato? huyu sio wa kawaida.
Kina MukyaCha ajabu hata ubunge wa viti maalum hatopewa. Watakao pewa sasa...
Kwa ajili ya mwenyekiti wenu Mr Bil 8 a.k.a Mbowe.....la mwanamke mwenzio unalitakia nini!.
Hachangii kitu kivip wakat analipa kodi, uwe na wigo mpana wa kufikir kabla haujaleta upumbavu wakoHapo maendeleo ya chato yanaletwa na Mh.Rais.Yeye hachangii kitu zaidi ya kujifanya naye humo.
Nashukuru jimboni kwangu hakuna ujinga wa hivi.Yaani mtu vitendo havionekani jimboni ila kisa kaivimbia serikali ndo nimpe kura! Pumbavu!
Toa ushirikiano kwa Husna weweHapo maendeleo ya chato yanaletwa na Mh.Rais.Yeye hachangii kitu zaidi ya kujifanya naye humo.
Nashukuru jimboni kwangu hakuna ujinga wa hivi.Yaani mtu vitendo havionekani jimboni ila kisa kaivimbia serikali ndo nimpe kura! Pumbavu!
Kwani kazi specific ya mbunge ni kuchangia kodi? Kila mtu anachangia kodi nchini.Hapo tofauti yake na mwananchi wa kawaida inakuwa ni ipi?Hachangii kitu kivip wakat analipa kodi, uwe na wigo mpana wa kufikir kabla haujaleta upumbavu wako
Kama ni mbunge wangu,yes!Toa ushirikiano kwa Husna wewe
Chadema hawa ndo wakuwapa Viti maalumu sio wale waliokimbia pambano...
Mimi naamini moyoni hata Mr President anamkubali huyu mama na keshawapa warning wasimguse kwani keshapata coverage kubwa sana. Atafanya kila namna aonane nae na amuhakikishie uchaguzi utakuwa fair (matokeo tu hayatakuwa fair). Magu anapenda watu wenye msimamo mkali plus ule weupe wake basi ndio kamaliza kila kitu. Atamtangazia dau kuliko la zile Tanzanite za Mmasai! Asipofika bei atabaki kumu admire tu kwa macho!Mama nimemkubali sana
Viti maalumu wanaangalia je anampendeza mr faru john?Chadema hawa ndo wakuwapa Viti maalumu sio wale waliokimbia pambano...