Wanachama wa CHADEMA wafunga ofisi za CCM kata ya Bashnet Mbulu

Wanachama wa CHADEMA wafunga ofisi za CCM kata ya Bashnet Mbulu

Aweda aache kuwadanganya vijana wa mbulu

Mkuu,
Muda wa mabadiliko hauangalii nani anawashawishi - Wamejishawishi wenyewe na wanachokipigania kina tija. Ofisi zote za ccm zilikuwepo kabla ya mwaka 1992 lazima zirudi serikalini iwe kwa hiari au kwa nguvu ya umma. SIKU NJEMA
 
Tehe tehe, CHADEMA ni wa ajabu sana, tatizo viongozi vilaza, hivi NCCR, TLP, CUF, ACT n.k wanaweza kufanya upuuzi kweli. Shule ni kitu muhimu sana, halafu jambo la ajabu utakuta wametumia wahuni tu kutekeleza uhalifu huo huku wakijua ni kosa kufanya hivyo.

Watumie wahuni vipi wakati wao wenyewe ni wahuni tosha wakiongozwa na Wazinzi Padri na Dj bila kusamsahau jambaz Lema
 
Back
Top Bottom