Wanachama wa CHADEMA wafunga ofisi za CCM kata ya Bashnet Mbulu

Wanachama wa CHADEMA wafunga ofisi za CCM kata ya Bashnet Mbulu

Jina lako linakuelezea kinaga ubaga kuwa wewe ni nani, weka basi angalau picha ya UONGO angalau kuhalalaisha uongo wako. CCM wako smart sana, majengo yao yote yana hati miliki.
 
bashnet si ni wilaya ya babati au imekuwaje mleta mada anyway watajua sheria maadam kesi imefunguliwa

Mimi nitatoa msaada wa kisheria popote pale, haki ya watanzania haiwezi kuchukuliwa na hao manyang'ao hiyo CCM
 
wiki ijayo ILE OFISI NDOGO LUMUMBA tunawakabidhi wamachinga , maana ni mali yao , tumegundua kule machinga complex hakuna biashara kabisa !
 
CHDEMA mmebaki huko tu nyie fanyeni vurugu, ndiyo maeneo yenu ya kujidai yaliobaki.
 
wiki ijayo ILE OFISI NDOGO LUMUMBA tunawakabidhi wamachinga , maana ni mali yao , tumegundua kule machinga complex hakuna biashara kabisa !

Jengeni ofisi , msiwaonee wenzenu wa CCM wivu, Mbona CUF na NCCR wana ofisi? kazi kumuachia SLAA ruzuku anatafuna na Msumbuzi.
 
Hii imekaa poa sanae hii, ngoja tukamlishe ukombozi ccm hawana ofisi ,au jengo lolote halali yote wamekwiba mali ya umma.

BACK TANGANYIKA

Safi Sana,naijua vizuri ofisi ile hata ivo ccm haina ofisi iliyojenga kwa hela zake, pale Kuna kamanda Tara hayumbishwi ngoja niende kuongeza nguvu.
 
Hao Makamanda wanastahili Pongezi sana, na huo uwe Mwanzo wa kurudisha majengo na viwanja vyote vya mpira vilivyojengwa kabla ya mwaka 1992 ambavyo CCM bila aibu waliyojimilikisha...
Wakuu
heshima kwenu

Wafuasi wa chama cha demekrasia na maendeleo CHADEMA Mkoani Manyara wamefunga ofisi ya Ccm kata ya Bashnet wilaya ya Mbulu kwa kile wanachodai kua hiyo ofisi ilijengwa mwaka 1989 kwa nguvu za wananchi wote na sio wana Ccm.

Walidai kua wameaamua kufunga ofisi hiyo ili iwe mali ya Serikali na sio ya Ccm.

Nimefurahishwa sana na kitendo hicho nashauri makamanda wengine waige mfano huu mzuri

Tuanze na viwanja vya mpira

#NABADOOO

SOURCE STAR TV HABARI

Nawasilisha.
 
Hii imekaa poa sanae hii, ngoja tukamlishe ukombozi ccm hawana ofisi ,au jengo lolote halali yote wamekwiba mali ya umma.

BACK TANGANYIKA
Habari hii imenikumbusha na kule Igunga wakati ule wa Uchaguzi wa Marudio tuliambiwa ile ofisi ya CCM Wilaya ni mali ya Idara ya Afya lakini wameipokonya na kuitafisha na hadi sasa hakuna aliyejitokeza kuidai.
 
Back
Top Bottom