Wakuu
heshima kwenu
Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoani Manyara wamefunga ofisi ya CCM kata ya Bashnet wilaya ya Mbulu kwa kile wanachodai kua hiyo ofisi ilijengwa mwaka 1989 kwa nguvu za wananchi wote na sio wana CCm.
Walidai kua wameaamua kufunga ofisi hiyo ili iwe mali ya Serikali na sio ya CCM.
Nimefurahishwa sana na kitendo hicho nashauri makamanda wengine waige mfano huu mzuri
Tuanze na viwanja vya mpira
#NABADOOO
SOURCE STAR TV HABARI
Nawasilisha.
heshima kwenu
Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoani Manyara wamefunga ofisi ya CCM kata ya Bashnet wilaya ya Mbulu kwa kile wanachodai kua hiyo ofisi ilijengwa mwaka 1989 kwa nguvu za wananchi wote na sio wana CCm.
Walidai kua wameaamua kufunga ofisi hiyo ili iwe mali ya Serikali na sio ya CCM.
Nimefurahishwa sana na kitendo hicho nashauri makamanda wengine waige mfano huu mzuri
Tuanze na viwanja vya mpira
#NABADOOO
SOURCE STAR TV HABARI
Nawasilisha.