Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,679
Nikifikiria kipindi kinachokuja dah,nakata tamaa kabisa.Kuna kipindi kigumu mno kinachokuja
Labda tu Kama upo katika nafasi nzuri Ila Kama huna ishu Nakwambia Awamu hiii Ni Mbaya mno ni Mbaya.Hakutakuwa na biashara hakutakuwa na ajira hakutakuwa na ongezeko la mishahara.Tanzania ni Nchi Huru
Hakuna mtu mshenzi Kama mchinaChina wameshajipanga kuwa upande wa Tz. Sikilizeni, if you can't change the situation, adapt. Anzeni sasa kusifia, shindaneni kusifia na MATAGA, anzeni kugombania mkate wao.
Mabeberu hawakwepekiCCM mbele kwa mbele.
Mkome kuwashangilia mabeberu.
Itakuwa Kama ulaya ya kilosa labda.Nchi hii inaenda kuwa ya kipuuzi kuliko nchi yeyote.Baada ya miezi miwili tu utapata majibuRais wako jiwe alikua anasema anashindwa leta maendelea kwasababu anachanganyiwa magunzi, now wote ni ccm, tunataka kuiona Tz kama Ulaya, sawa dogo?
Ndio tumewakwepa mwaka huu, kwa kuwaondoa vibaraka wao AKA watetezi.Mabeberu hawakwepeki
WamekimbiaJukwaa limepoa Sana leo
Mimi bado kijana mdogo, around 31. Nimeanza kujitegemea 2015. Nishajenga dar na nina usafiri wa uhakika. Ni mtumishi wa umma. Hivyo sina maisha magumu kivile.Maisha magumu ni ya kwenu watoa povu maana mna miaka 5 tena mbele ya kubwabwaja mapovu kwenye mitandao
Kwaajili.......kwani unawalishaMimi bado kijana mdogo, around 31. Nimeanza kujitegemea 2015. Nishajenga dar na nina usafiri wa uhakika. Ni mtumishi wa umma. Hivyo sina maisha magumu kivile.
Nimezungumza kwaajili ya umma wa Kitanzania
Kwaajili.......kwani unawalisha