OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
Yaani hii wiki imekuwa mbaya sana kwa rafiki zangu Rejao na Ritz kila thread wanayofungua wanakuta moto.
Kuna mtu kanimegea siri kuwa wapo kwenye JF-Jukwaa la Mapenzi wanajipoza
Yaani hii wiki imekuwa mbaya sana kwa rafiki zangu Rejao na Ritz kila thread wanayofungua wanakuta moto.
Sina haja ya kukaa ofisini tena nafungasha nikajipongeze na familia yangu sasa!. Nataka watuambie MNADA WA JENGO LA CCM Mkoa wa Arusha ni lini kwani kwa sasa halina kazi tena!!!!!! tunataka kununua kwa ajili ya kufanya ofisi zetu za CDM.
Sifa zote ni kwa Mungu Bwana wetu.
sijui kesho itakuwa wapi
M4C in action
Wakuu Rejao anatia huruma sana,nimemetafuta na nimemkuta kwenye thread hii kule kwenye Mapenzi&Mahusiano ''Shost Mwanaume mtamu yuleeee, najilaumu kwa nini nilimdengulia muda mrefu'', Maskini Rejao
hameni!hameni wengine njooni kwetu TLP nafasi bado zipo mkiona huko pia kumefurika.KARIBUNIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.