Wanachadema hamjachoshwa na hii too much expectation with zero strategy?

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Nawakumbusha tu kuwa Ushindi ni magoli yawe ya kichwa au kisigino yote hufungwa kwa ustadi mkubwa na mafundi wa kufunga yaani Top Scorer!

Nawakumbusha kuwa ushindi katika mechi ni mpango wa muda mrefu na usajili unaofanyika chini ya jopo la benchi la ufundi ...na ikumbukwe kuwa usajili hufanyika kabla ya mashindano na sio siku moja au mbili kabla ya mashindano.

Maandalizi ya mechi hufanyika mapema sana ili kujihakikishia ushindi.

Kamwe Ushindi hauji kwa kukurupuka...au kuokoteza mastriker wa mechi za mchangani.

Vivyo hivyo ushindi haujawahi kuletwa na loosers so never invest on looser halafu uxpect kushinda.

Mwaka 2015 Chadema iliwekeza kwa looser mmoja kutoka CCM na mkatuaminisha na picha za mafuriko kuwa ati ushindi utapatikana asubuhi saa nne.

Sasa kwa mara nyingine tena mnawekeza kwa "once a looser" na mnataka kuwaaminisha wananchi eti mtashinda hili game!!Shame on you and your strategy team kama ipo.

Maswali muhimu....

Je CCM ilivyoamua "kununua" kama mlivyozoea kusema wagombea wenu wa udiwani na kuwarudisha kugombea kwa tiketi zinazouza za chanikiwiti ilikuwa haijajipanga?

Baada ya CCM kufanikiwa katika zoezi hilo lililowagusa madiwani wenu katika ngome zenu kwa asilimia 99 na hatimaye kuanza kunyemelea ubunge je ilikuwa haijajipanga?

Je kuna mwananchi atakubali kuwekeza kwa wagombea wenu ambao potentially wako sokoni kila kukicha??

Nawaasa kushughulikia tatizo kubwa zaidi ndani ya chama yaani usaliti kabla ya kuongeza idadi yawasaliti halafu mnabaki kutulilia kila kukicha.

Naendelea kuwashauri kuwa mnapoweka "Too much " expectations muandae na madawa ya kushusha presha na misongo ya mawazo...yaani muandae na madaktari wa kutibu post trauma Stress Disorders .

CCM iliyo adilifu ,mpya na moja ni kali zaidi ya barca ya kina messi na Iniesta !!

Nawatakia jumapili njema kutokea Kutokea Manyanya nikielekea ufipa kwa kazi maalumu!
 
Sasa jingalao who's expecting much than ccm here? Unasahau nadharia hii ya mkulima kuwa anaponunua mbegu na kuipanda anategemea iote na kutoa mazao mengi sio?! Ccm mmenunua mbegu za mchongoma badala ya za zabibu na baada ya kuona miiba mnaanza na hizi rubbish drama as if ile mbinu ya gambo na mnyeti itafanikiwa kila mahali!
Jingalao, kinondoni ndio dar-es-salaam na pana akili kubwa zinaishi pale na hata siku moja usije kupalinganisha na manyara wala arumeru na sombetini! Waambie hao kina polepole kuwa, " not this time, we had enough already"! Tembeeni na painkillers kwani mtaumwa sana kichwa kuanzia kwenye kampeni hadi siku ya uchaguzi na nawahakikishia kuwa mnayoyatarajia yatakuwa below zero!
 
Nawakumbusha tu kuwa Ushindi ni magoli yawe ya kichwa au kisigino yote hufungwa kwa ustadi mkubwa na mafundi wa kufunga yaani Top Scorer!

Nawakumbusha kuwa ushindi katika mechi ni mpango wa muda mrefu na usajili unaofanyika chini ya jopo la benchi la ufundi ...na ikumbukwe kuwa usajili hufanyika kabla ya mashindano na sio siku moja au mbili kabla ya mashindano.

Maandalizi ya mechi hufanyika mapema sana ili kujihakikishia ushindi.

Kamwe Ushindi hauji kwa kukurupuka...au kuokoteza mastriker wa mechi za mchangani.

Vivyo hivyo ushindi haujawahi kuletwa na loosers so never invest on looser halafu uxpect kushinda.

Mwaka 2015 Chadema iliwekeza kwa looser mmoja kutoka CCM na mkatuaminisha na picha za mafuriko kuwa ati ushindi utapatikana asubuhi saa nne.

Sasa kwa mara nyingine tena mnawekeza kwa "once a looser" na mnataka kuwaaminisha wananchi eti mtashinda hili game!!Shame on you and your strategy team kama ipo.

Maswali muhimu....

Je CCM ilivyoamua "kununua" kama mlivyozoea kusema wagombea wenu wa udiwani na kuwarudisha kugombea kwa tiketi zinazouza za chanikiwiti ilikuwa haijajipanga?

Baada ya CCM kufanikiwa katika zoezi hilo lililowagusa madiwani wenu katika ngome zenu kwa asilimia 99 na hatimaye kuanza kunyemelea ubunge je ilikuwa haijajipanga?

Je kuna mwananchi atakubali kuwekeza kwa wagombea wenu ambao potentially wako sokoni kila kukicha??

Nawaasa kushughulikia tatizo kubwa zaidi ndani ya chama yaani usaliti kabla ya kuongeza idadi yawasaliti halafu mnabaki kutulilia kila kukicha.

Naendelea kuwashauri kuwa mnapoweka "Too much " expectations muandae na madawa ya kushusha presha na misongo ya mawazo...yaani muandae na madaktari wa kutibu post trauma Stress Disorders .

CCM iliyo adilifu ,mpya na moja ni kali zaidi ya barca ya kina messi na Iniesta !!

Nawatakia jumapili njema kutokea Kutokea Manyanya nikielekea ufipa kwa kazi maalumu!
simba anamshauri swala
 
Tulia kwanza dhambi ya ununuzi iwatafune siha na kinondoni hiyo misukule ya CCM lazima wakalie mkuki
 
Jingalao napenda kukujibu hiyo post yako namba moja. Ccm imewekeza na inatarajia ushindi, ila sio ushindi wa kura baada ya ushawishi wa kisiasa bali ni nguvu ya mwenyekiti wenu kupitia kofia yake ya amiri jeshi mkuu. Kutokana na tabia za mwenyekiti wenu, ccm sasa inajiamini kwani ina uhakika wa kufanya siasa bila ushindani kwa sababu mwenyekiti wake atatumia kofia yake ya uamiri jeshi mkuu kukibeba. Ila mbele ya umma ccm ni chama cha kikatili hata kama kinalazimisha tabasamu mbele ya umma.

Ila nisikudanganye chini ya mwenyekiti huyu ccm ndio itazidi kuwa dhaifu na pindi atakapotoka madarakani ikashindwa ushindani halisi. Halafu sio lazima ccm isiburi kote huko kwani hata dalili sasa zimejionyesha hasa kupitia chaguzi zilizopita ambapo ilishinda kwa mabavu mpaka ukawa ikasusia uchaguzi wa juzi. Uchaguzi wa juzi ccm ilishindana na vyama dhaifu ila idadi ya wapiga kura ilidondoka mno. Tafsiri yake ni kuwa ccm haina ushawishi tena kwa umma kwani sasa haifanyi siasa bali inaongoza kwa lazima. Pata picha unapofanya mapenzi na mwanamke uliyemchukua kibabe na akawa hana jinsi.

Uchaguzi huu wa kesho kutwa unaenda kuiabisha ccm kwa kila hali. Iwapo itashindwa itaingia aibu kwani ina mwenyekiti asiyekubali kushindwa hivyo si mshindani. Na iwapo itashinda kwa mabavu ndio itazidi kujiaibisha kwa umma na hapo itatoa nguvu sana kwa wapinzani mbele ya umma kwamba sasa ccm rasmi sio chama cha siasa bali kikundi cha kijeshi. Na huenda uchaguzi huu ukaichanganya sana ccm iwapo wapinzani wataweza kutumia mbinu za kisayansi kuimaliza ccm mbele ya umma. Ninaomba sana ccm itumie mabavu kupata ushindi kwani hilo ndio itakuwa kaburi lake na itabakia ikimtegemea tu mwenyekiti wake kama rais kuibeba.
 
Jingalao napenda kukujibu hiyo post yako namba moja. Ccm imewekeza na inatarajia ushindi, ila sio ushindi wa kura baada ya ushawishi wa kisiasa bali ni nguvu ya mwenyekiti wenu kupitia kofia yake ya amiri jeshi mkuu. Kutokana na tabia za mwenyekiti wenu, ccm sasa inajiamini kwani ina uhakika wa kufanya siasa bila ushindani kwa sababu mwenyekiti wake atatumia kofia yake ya uamiri jeshi mkuu kukibeba. Ila mbele ya umma ccm ni chama cha kikatili hata kama kinalazimisha tabasamu mbele ya umma.

Ila nisikudanganye chini ya mwenyekiti huyu ccm ndio itazidi kuwa dhaifu na pindi atakapotoka madarakani ikashindwa ushindani halisi. Halafu sio lazima ccm isiburi kote huko kwani hata dalili sasa zimejionyesha hasa kupitia chaguzi zilizopita ambapo ilishinda kwa mabavu mpaka ukawa ikasusia uchaguzi wa juzi. Uchaguzi wa juzi ccm ilishindana na vyama dhaifu ila idadi ya wapiga kura ilidondoka mno. Tafsiri yake ni kuwa ccm haina ushawishi tena kwa umma kwani sasa haifanyi siasa bali inaongoza kwa lazima. Pata picha unapofanya mapenzi na mwanamke uliyemchukua kibabe na akawa hana jinsi.

Uchaguzi huu wa kesho kutwa unaenda kuiabisha ccm kwa kila hali. Iwapo itashindwa itaingia aibu kwani ina mwenyekiti asiyekubali kushindwa hivyo si mshindani. Na iwapo itashinda kwa mabavu ndio itazidi kujiaibisha kwa umma na hapo itatoa nguvu sana kwa wapinzani mbele ya umma kwamba sasa ccm rasmi sio chama cha siasa bali kikundi cha kijeshi. Na huenda uchaguzi huu ukaichanganya sana ccm iwapo wapinzani wataweza kutumia mbinu za kisayansi kuimaliza ccm mbele ya umma. Ninaomba sana ccm itumie mabavu kupata ushindi kwani hilo ndio itakuwa kaburi lake na itabakia ikimtegemea tu mwenyekiti wake kama rais kuibeba.
Idadi ya wapiga kura waliojitokeza kwenye uchaguzi wa marudio wa Udiwani Arumeru na Hai haiguswi kwenye chambuzi zenu za wapiga kira?
Again hamchoki kuwa fisi mwenye kusubiri mkono udondoke?
 
Dhambi hiyo mbona haikututafuna Hai kwa mwenyekiti wa Chama...?
Expecting too much !!

Uchaguzu huo wa huko hai sio ndio ulioidhalilisha ccm kulazimisha ushindi kwa kufanya mambo ya ajabu. Ccm sasa hvi naifananisha na mziki wa zilipendwa, hata kama una maudhui mazuri vipi ukishapitwa na wakati umepitwa tu. Ccm ikubali wakati ni ukuta, ushindani wa kutumia mabavu wakati watu wamechoka utakuja kuiponza na kuharibu amani ya nchi.
 
Ukitaka kujua maana ya ujinga, andika neno 'MTULIA' acha nafasi # halafu piga. Hahahaaa.
 
Jingalao napenda kukujibu hiyo post yako namba moja. Ccm imewekeza na inatarajia ushindi, ila sio ushindi wa kura baada ya ushawishi wa kisiasa bali ni nguvu ya mwenyekiti wenu kupitia kofia yake ya amiri jeshi mkuu. Kutokana na tabia za mwenyekiti wenu, ccm sasa inajiamini kwani ina uhakika wa kufanya siasa bila ushindani kwa sababu mwenyekiti wake atatumia kofia yake ya uamiri jeshi mkuu kukibeba. Ila mbele ya umma ccm ni chama cha kikatili hata kama kinalazimisha tabasamu mbele ya umma.

Ila nisikudanganye chini ya mwenyekiti huyu ccm ndio itazidi kuwa dhaifu na pindi atakapotoka madarakani ikashindwa ushindani halisi. Halafu sio lazima ccm isiburi kote huko kwani hata dalili sasa zimejionyesha hasa kupitia chaguzi zilizopita ambapo ilishinda kwa mabavu mpaka ukawa ikasusia uchaguzi wa juzi. Uchaguzi wa juzi ccm ilishindana na vyama dhaifu ila idadi ya wapiga kura ilidondoka mno. Tafsiri yake ni kuwa ccm haina ushawishi tena kwa umma kwani sasa haifanyi siasa bali inaongoza kwa lazima. Pata picha unapofanya mapenzi na mwanamke uliyemchukua kibabe na akawa hana jinsi.

Uchaguzi huu wa kesho kutwa unaenda kuiabisha ccm kwa kila hali. Iwapo itashindwa itaingia aibu kwani ina mwenyekiti asiyekubali kushindwa hivyo si mshindani. Na iwapo itashinda kwa mabavu ndio itazidi kujiaibisha kwa umma na hapo itatoa nguvu sana kwa wapinzani mbele ya umma kwamba sasa ccm rasmi sio chama cha siasa bali kikundi cha kijeshi. Na huenda uchaguzi huu ukaichanganya sana ccm iwapo wapinzani wataweza kutumia mbinu za kisayansi kuimaliza ccm mbele ya umma. Ninaomba sana ccm itumie mabavu kupata ushindi kwani hilo ndio itakuwa kaburi lake na itabakia ikimtegemea tu mwenyekiti wake kama rais kuibeba.
jingalao kesha sema: goli ni goli.
 
Goli ni goli. Hii statement ni ya muhimu. Pande zote zinatakiwa kufahamu ili. Kulalamika hakukupi magoli.
 
Kwa jinsi UFIPA walivyo na makengeza hawawezi kuona ulichokiandika. Siku matokeo yakisomwa uyasikia mara tume sio huru mara polisi wamefanya hivi. Naungana nawe kuwashauri wajisafishe kuanzia kwa DJ then warudi kwenye grassroots wa revamp mfumo wao wa kiuongozi kwa maana ya kupata the competently elected leaders na sio kuokoteza wapiga kelele mitaani. Kichapo cha Siha na Kinondoni kitawatoa rasmi barabarani
Tatizo hawapendi kuambiwa ukweli.
 
Tatizo hawapendi kuambiwa ukweli.

Halafu lugha za kwamba ccm itashinda kwa namna yoyote sio kwako ww tu bali hata wenzako, na hamzitoi kwa bahati mbaya bali huo ndio ukweli kwamba mnatambua hamkubaliki, hivyo ile nguvu yenu tunayosema ya kutegemea kofia ya urais ya mwenyekiti wenu kujiongopea kwamba ccm ni chama imara inapodhihiri. Na sisi tunasema cdm washiriki kwa nguvu zote ili kuweka ukweli huo hadharani, kitendo hiki kitazidi kuiweka ccm kwenye hali mbaya ya kuongoza nchi kwa ridhaa ya umma. Ikifika hiyo 2020 kuibana jumla ni iwapo tutakuwa hai 2025 ccm ndio itakuwa historia. Hili ni angalizo muhimu.
 
Jingalao napenda kukujibu hiyo post yako namba moja. Ccm imewekeza na inatarajia ushindi, ila sio ushindi wa kura baada ya ushawishi wa kisiasa bali ni nguvu ya mwenyekiti wenu kupitia kofia yake ya amiri jeshi mkuu. Kutokana na tabia za mwenyekiti wenu, ccm sasa inajiamini kwani ina uhakika wa kufanya siasa bila ushindani kwa sababu mwenyekiti wake atatumia kofia yake ya uamiri jeshi mkuu kukibeba. Ila mbele ya umma ccm ni chama cha kikatili hata kama kinalazimisha tabasamu mbele ya umma.

Ila nisikudanganye chini ya mwenyekiti huyu ccm ndio itazidi kuwa dhaifu na pindi atakapotoka madarakani ikashindwa ushindani halisi. Halafu sio lazima ccm isiburi kote huko kwani hata dalili sasa zimejionyesha hasa kupitia chaguzi zilizopita ambapo ilishinda kwa mabavu mpaka ukawa ikasusia uchaguzi wa juzi. Uchaguzi wa juzi ccm ilishindana na vyama dhaifu ila idadi ya wapiga kura ilidondoka mno. Tafsiri yake ni kuwa ccm haina ushawishi tena kwa umma kwani sasa haifanyi siasa bali inaongoza kwa lazima. Pata picha unapofanya mapenzi na mwanamke uliyemchukua kibabe na akawa hana jinsi.

Uchaguzi huu wa kesho kutwa unaenda kuiabisha ccm kwa kila hali. Iwapo itashindwa itaingia aibu kwani ina mwenyekiti asiyekubali kushindwa hivyo si mshindani. Na iwapo itashinda kwa mabavu ndio itazidi kujiaibisha kwa umma na hapo itatoa nguvu sana kwa wapinzani mbele ya umma kwamba sasa ccm rasmi sio chama cha siasa bali kikundi cha kijeshi. Na huenda uchaguzi huu ukaichanganya sana ccm iwapo wapinzani wataweza kutumia mbinu za kisayansi kuimaliza ccm mbele ya umma. Ninaomba sana ccm itumie mabavu kupata ushindi kwani hilo ndio itakuwa kaburi lake na itabakia ikimtegemea tu mwenyekiti wake kama rais kuibeba.
Nini kifanyike ili ccm iwe imeshinda kihalali!
 
Nawakumbusha tu kuwa Ushindi ni magoli yawe ya kichwa au kisigino yote hufungwa kwa ustadi mkubwa na mafundi wa kufunga yaani Top Scorer!

Nawakumbusha kuwa ushindi katika mechi ni mpango wa muda mrefu na usajili unaofanyika chini ya jopo la benchi la ufundi ...na ikumbukwe kuwa usajili hufanyika kabla ya mashindano na sio siku moja au mbili kabla ya mashindano.

Maandalizi ya mechi hufanyika mapema sana ili kujihakikishia ushindi.

Kamwe Ushindi hauji kwa kukurupuka...au kuokoteza mastriker wa mechi za mchangani.

Vivyo hivyo ushindi haujawahi kuletwa na loosers so never invest on looser halafu uxpect kushinda.

Mwaka 2015 Chadema iliwekeza kwa looser mmoja kutoka CCM na mkatuaminisha na picha za mafuriko kuwa ati ushindi utapatikana asubuhi saa nne.

Sasa kwa mara nyingine tena mnawekeza kwa "once a looser" na mnataka kuwaaminisha wananchi eti mtashinda hili game!!Shame on you and your strategy team kama ipo.

Maswali muhimu....

Je CCM ilivyoamua "kununua" kama mlivyozoea kusema wagombea wenu wa udiwani na kuwarudisha kugombea kwa tiketi zinazouza za chanikiwiti ilikuwa haijajipanga?

Baada ya CCM kufanikiwa katika zoezi hilo lililowagusa madiwani wenu katika ngome zenu kwa asilimia 99 na hatimaye kuanza kunyemelea ubunge je ilikuwa haijajipanga?

Je kuna mwananchi atakubali kuwekeza kwa wagombea wenu ambao potentially wako sokoni kila kukicha??

Nawaasa kushughulikia tatizo kubwa zaidi ndani ya chama yaani usaliti kabla ya kuongeza idadi yawasaliti halafu mnabaki kutulilia kila kukicha.

Naendelea kuwashauri kuwa mnapoweka "Too much " expectations muandae na madawa ya kushusha presha na misongo ya mawazo...yaani muandae na madaktari wa kutibu post trauma Stress Disorders .

CCM iliyo adilifu ,mpya na moja ni kali zaidi ya barca ya kina messi na Iniesta !!

Nawatakia jumapili njema kutokea Kutokea Manyanya nikielekea ufipa kwa kazi maalumu!
 
Back
Top Bottom