Wanachadema hamjachoshwa na hii too much expectation with zero strategy?

Wanachadema hamjachoshwa na hii too much expectation with zero strategy?

Kikwete aliwaacha mja*&$mbe nyie mkaamua kumuharishia....aliwaacha mkojoe mkamrushia mkojo usoni...
Mlimuita JK ni dhaifu leo hii mnamuita Magufuli dikteta.

Hivi kuna mlevi wa madaraka kama Mbowe?
Alibadili katiba ya Chadema ili aendelee kuwa Mwenyekiti...aliwafukuza kina Zitto kisa tu uwenyekiti bila kusahau figisu figisu dhidi ya Wangwe.Huyo ndio mlevi wa madaraka ambaye akiwa pamoja na wewe mbobezi wa kumshabikia mnatuaminisha kuwa mnaijua demokrasia...so sad ...!

Ccm ndio yenye dola na umma kwa sasa...yaani CCM ikiamua kuwaingiza wanachama na wafuasi wake barabarani hata kwa showoff tu hakutakalika.

Hata mimi natoa ushauri unbiased ila wewe umeamua kuungalia kwa jicho biased

ni ushauri tu nimetoa wala sijajinasibisha na chama nimeongea kama mtaalamu tu basi ...ndio maana nikasema Hutaki Acha .....ni mambo mengi tu tushasema na yakawa ..
In the actual fact ccm ikitaka kuweka maandamano ni kweli hakutakalika basi na iweke ....kama wafuasi "hewa" wanaotokana na kura "hewa" wanaweza kuandamana waandamane !!

Kuna kitu kimoja kama umegundua wakati wa kikwete mfano matokeo ya uchaguzi yakitangazwa ccm wakashinda ilikuwa tunaona mashabiki na wakereketwa wakipita huko na huko kwa mbwembwe wakishangili ....hii kisiasa ina maana chama kina watu wanakipenda na wanafurahia ushindi wa jasho lao ..

Nimefanya tathmini baada ya matokeo ya Kata 43 Na haya ya juzi ......sioni wana ccm wakijimwaga barabarani kushangilia kama zamani ,sioni shamra shamra ....na ule utani wa jadi tuliozoea ....hii ina maana gani kama kweli kura 40,0000 au 30,000 zimesema ndio alafu wanaoshangilia ushindi hawafiki 100 na wanaonekana wanyonge .....kwenye makundi ya whatsapp sioni makada wakipeana hongera na hata zikiwepo sio za dhati ....hii ina maana gani ??? je wanajiona hawakustahili ushindi kwanini hawatambi na kujigamba na ushindi kama ilivyo ada ya siasa .....nani alipiga hizo kura ???
Tusiende Rwanda ambako Rais anashinda kwa kura za 99% lakini ukitazama taswira ya nchi huoni vicheko vya 99%
Kwenye uchaguzi mkuu wa ccm nilihoji ...ule ushindi wa 100% ukumbini sikuona sura ya shangilio la 100% kwa waliokuwapo wanajua au tazameni clips ....hii mjuwe mambo yanapotokea huwa tunatazama vitu vingi ..tunasoma taswira ....
Zamani mwenyekiti anashinda kwa 90% na ukitazama ukumbi unavyovuma unaiona furaha ya moyoni
 
Nimesema uasi wa umma sio wa chadema au cuf ......kitaalamu ukifanya political instruments zikakosa nguvu ...unazalisha insurgency , hiyo sio principle yangu bali ni principle za peace and strategics studies.....
Kwa sasa wanachama wa vyama wote wamekata tamaa wakiwamo sehemu kubwa tu ya wanachama wa ccm .....ina maana tuko kwenye hali ambayo kichaa yeyote akija na solution nje ya mfumo wa kisiasa atapata kuungwa mkono ...
Na kumbuka mass action sio lazima ihusishe watu wote milioni 58 kwenye nchi bali hata watu 1,000 tu wakianza wanaweza kutuyumbisha , naomba ieleweke kuwa hapa siongei siasa bali naongea hali halisi , Huyu Rais atatuzalishia uasi muda sio mrefu na hatutaki kujeuka loughing stock kwenye ukanda huu.

Najua kuna watu wa Intelligence humu , wafanye observation ya mijadala mitaani ,mitandaoni au mtu mmoja mmoja ....watu wamekosa imani na viongozi wa kisiaasa which is very dangerous ...
Maongezi yanayoongelewa kwenye vikundi vidogo vidogo mitaani hayana ishara nzuri ,nafikiri naeleweka .
Hata mwaka 1983/84 kwa waliokuwa tayari vijana wanakumbuka kulikuwa na fununu fununu hivi zinazagaaa...tofauti tu ni kuwa Mwalimu pamoja na ugumu wa maisha alikuwa anapendwa na kuaminiwa na wananchi ,wanajeshi na wengine sasa unapokuta hadi walio kwenye system wananungunika you have to be very alert !!!
Mkuu, wapo watu wameajiriwa kukejeli wengine kwenye mitandao huyo unajibzana naye nimmoja wao. Tazama maandiko yake na wengine wapo wawili watatu.
Wana lugha chafu wanakejeli watu na kujiona wao ni binadamu special sana.
Wana jiammini wanalindwa na wana kila kitu.
 
ni ushauri tu nimetoa wala sijajinasibisha na chama nimeongea kama mtaalamu tu basi ...ndio maana nikasema Hutaki Acha .....ni mambo mengi tu tushasema na yakawa ..
In the actual fact ccm ikitaka kuweka maandamano ni kweli hakutakalika basi na iweke ....kama wafuasi "hewa" wanaotokana na kura "hewa" wanaweza kuandamana waandamane !!

Kuna kitu kimoja kama umegundua wakati wa kikwete mfano matokeo ya uchaguzi yakitangazwa ccm wakashinda ilikuwa tunaona mashabiki na wakereketwa wakipita huko na huko kwa mbwembwe wakishangili ....hii kisiasa ina maana chama kina watu wanakipenda na wanafurahia ushindi wa jasho lao ..

Nimefanya tathmini baada ya matokeo ya Kata 43 Na haya ya juzi ......sioni wana ccm wakijimwaga barabarani kushangilia kama zamani ,sioni shamra shamra ....na ule utani wa jadi tuliozoea ....hii ina maana gani kama kweli kura 40,0000 au 30,000 zimesema ndio alafu wanaoshangilia ushindi hawafiki 100 na wanaonekana wanyonge .....kwenye makundi ya whatsapp sioni makada wakipeana hongera na hata zikiwepo sio za dhati ....hii ina maana gani ??? je wanajiona hawakustahili ushindi kwanini hawatambi na kujigamba na ushindi kama ilivyo ada ya siasa .....nani alipiga hizo kura ???
Tusiende Rwanda ambako Rais anashinda kwa kura za 99% lakini ukitazama taswira ya nchi huoni vicheko vya 99%
Kwenye uchaguzi mkuu wa ccm nilihoji ...ule ushindi wa 100% ukumbini sikuona sura ya shangilio la 100% kwa waliokuwapo wanajua au tazameni clips ....hii mjuwe mambo yanapotokea huwa tunatazama vitu vingi ..tunasoma taswira ....
Zamani mwenyekiti anashinda kwa 90% na ukitazama ukumbi unavyovuma unaiona furaha ya moyoni
IMG-20180218-WA0043.jpg

Ndugu yangu Philemon huwezi kuona kama hutaki kuona!!

Hivi hata television huangalìi?kumbuka pia ushindi kwa wabunge na madiwani hawa ulikuwa wazi kwa kuwa yalikuwa ni machaguo ya wananchi.
Yaani miaka miwili iliyopita wanachadema walituaminisha kuwa hawa ndio wanaokubalika sasa inashangaza kuona mna msimamo tofauti katika uchaguzi huu kisa wagombea wale walivaa jezi za kijani.

Ukirudi kwenye hoja yangu utajiona ni jinsi gani mnavyoishi kwa expectation bila mikakati.

Unapomleta Salumu Mwalimu ukitarajia aje kushinda Kinondoni huku akiwa hana hata kitambulisho cha mpiga kura unatarajia ushindi kutoka wapi?

CCM ina hazina ya viongozi na ingeweza kumteua yoyote yule aje kugombea kinondoni badala ya Mtulia...lakini haikufanya hivyo kwa kuwa ilitafiti.
 
Nawakumbusha tu kuwa Ushindi ni magoli yawe ya kichwa au kisigino yote hufungwa kwa ustadi mkubwa na mafundi wa kufunga yaani Top Scorer!

Nawakumbusha kuwa ushindi katika mechi ni mpango wa muda mrefu na usajili unaofanyika chini ya jopo la benchi la ufundi ...na ikumbukwe kuwa usajili hufanyika kabla ya mashindano na sio siku moja au mbili kabla ya mashindano.

Maandalizi ya mechi hufanyika mapema sana ili kujihakikishia ushindi.

Kamwe Ushindi hauji kwa kukurupuka...au kuokoteza mastriker wa mechi za mchangani.

Vivyo hivyo ushindi haujawahi kuletwa na loosers so never invest on looser halafu uxpect kushinda.

Mwaka 2015 Chadema iliwekeza kwa looser mmoja kutoka CCM na mkatuaminisha na picha za mafuriko kuwa ati ushindi utapatikana asubuhi saa nne.

Sasa kwa mara nyingine tena mnawekeza kwa "once a looser" na mnataka kuwaaminisha wananchi eti mtashinda hili game!!Shame on you and your strategy team kama ipo.

Maswali muhimu....

Je CCM ilivyoamua "kununua" kama mlivyozoea kusema wagombea wenu wa udiwani na kuwarudisha kugombea kwa tiketi zinazouza za chanikiwiti ilikuwa haijajipanga?

Baada ya CCM kufanikiwa katika zoezi hilo lililowagusa madiwani wenu katika ngome zenu kwa asilimia 99 na hatimaye kuanza kunyemelea ubunge je ilikuwa haijajipanga?

Je kuna mwananchi atakubali kuwekeza kwa wagombea wenu ambao potentially wako sokoni kila kukicha??

Nawaasa kushughulikia tatizo kubwa zaidi ndani ya chama yaani usaliti kabla ya kuongeza idadi yawasaliti halafu mnabaki kutulilia kila kukicha.

Naendelea kuwashauri kuwa mnapoweka "Too much " expectations muandae na madawa ya kushusha presha na misongo ya mawazo...yaani muandae na madaktari wa kutibu post trauma Stress Disorders .

CCM iliyo adilifu ,mpya na moja ni kali zaidi ya barca ya kina messi na Iniesta !!

Nawatakia jumapili njema kutokea Kutokea Manyanya nikielekea ufipa kwa kazi maalumu!
Tatizo na wana Jamii forums wengi keyboard warrior..They think they are Noam Chomsky. lakini ukiwauliza tufanyeje hayo matapishi watakayokupa bora mpeke debe ana afadhali.Kwa hivyo msubirini Mange Instigram anweza kukupeni ushauri mzuri wa kufanya.
 
View attachment 698423
Ndugu yangu Philemon huwezi kuona kama hutaki kuona!!

Hivi hata television huangalìi?kumbuka pia ushindi kwa wabunge na madiwani hawa ulikuwa wazi kwa kuwa yalikuwa ni machaguo ya wananchi.
Yaani miaka miwili iliyopita wanachadema walituaminisha kuwa hawa ndio wanaokubalika sasa inashangaza kuona mna msimamo tofauti katika uchaguzi huu kisa wagombea wale walivaa jezi za kijani.

Ukirudi kwenye hoja yangu utajiona ni jinsi gani mnavyoishi kwa expectation bila mikakati.

Unapomleta Salumu Mwalimu ukitarajia aje kushinda Kinondoni huku akiwa hana hata kitambulisho cha mpiga kura unatarajia ushindi kutoka wapi?

CCM ina hazina ya viongozi na ingeweza kumteua yoyote yule aje kugombea kinondoni badala ya Mtulia...lakini haikufanya hivyo kwa kuwa ilitafiti.

Kaka hao watu kwenye Magari VX na wanaboda boda [ambaye yoyote anaweza kuwakodisha ] ...ndio unaita wafuasi .......enzi zetu ccm ikiwa ccm , hapo unakuta umati wa watu wanatembea kwa miguuu bila kujali .....juwa .
Tukubali tu kuwa CCM imefanywa kuwa CHAMA DOLA na hata wana ccm wanajua kuwa hata wasipoenda kupiga kura ....kuna namna tu itafanywa watashinda ...so they dont care much !!
 
Kaka hao watu kwenye Magari VX na wanaboda boda [ambaye yoyote anaweza kuwakodisha ] ...ndio unaita wafuasi .......enzi zetu ccm ikiwa ccm , hapo unakuta umati wa watu wanatembea kwa miguuu bila kujali .....juwa .
Tukubali tu kuwa CCM imefanywa kuwa CHAMA DOLA na hata wana ccm wanajua kuwa hata wasipoenda kupiga kura ....kuna namna tu itafanywa watashinda ...so they dont care much !!
Ndio maana nikasema kuwa Huwezi kuona kama hutaki kuona....nina kifolder cha picha za wanaccm na wananchi wakishangilia ushindi ila sitakuwekea kwa kuwa hutaki kuona.

Kitu ambacho mnatakiwa mkifikirie ni kuwa wabunge hawa wamehamia CCM na wafuasi wao hiyo ikimaanisha kuwa wamepunguza wafuasi wenu na kuongeza wafuasi wetu.

Nakubandika uchadema kwa kuwa kama kweli unajibadi kuwa mwanaccm usingeweza kuishabikia au kusimama kama mwanaCCM kipindi kile cha harakati za fisadi it was a shame!!
Ilifika mahali mwanaCCM hawezi kupita na jezi yake ya kijani mtaani.
Nashukuru Mungu kwa sasa CCM inarejea kwebye hali yake ya kuwa Chama tawala na Chama cha wananchi.
 
Ndio maana nikasema kuwa Huwezi kuona kama hutaki kuona....nina kifolder cha picha za wanaccm na wananchi wakishangilia ushindi ila sitakuwekea kwa kuwa hutaki kuona.

Kitu ambacho mnatakiwa mkifikirie ni kuwa wabunge hawa wamehamia CCM na wafuasi wao hiyo ikimaanisha kuwa wamepunguza wafuasi wenu na kuongeza wafuasi wetu.

Nakubandika uchadema kwa kuwa kama kweli unajibadi kuwa mwanaccm usingeweza kuishabikia au kusimama kama mwanaCCM kipindi kile cha harakati za fisadi it was a shame!!
Ilifika mahali mwanaCCM hawezi kupita na jezi yake ya kijani mtaani.
Nashukuru Mungu kwa sasa CCM inarejea kwebye hali yake ya kuwa Chama tawala na Chama cha wananchi.

ccm ya saa haiko kwa watu inategemea dola kusimama , hilo hata Nape na viongozi wengine walisema .,rais mstaafu Kikwete amewahi kukemea kitendo cha wana ccm kutegemea dola .....
Nakubali kuwa misingi ya ccm ilianza kuporomoka mwaka 2010 ...kuendelea ,JPM alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuisimamisha ccm ila kitu kimoja tu kinaondoa uhalali uvunjifu wa haki za raia na huu mkakati wa kununua wanasiasa na kupora ushindi kwa wazi ni aibu kubwa kuliko zote

Kiukweli wana ccm wengi wanaona aibu hata kufurahia ushindi wowote wanaoupata , hili naongea kwa kuwa pia nimelisikia kwa viongozi wakubwa tu wa ccm ambao hawakubaliani na mfumo wa sasa ...wa kukipanua chama
 
Kikwete aliwaacha mja*&$mbe nyie mkaamua kumuharishia....aliwaacha mkojoe mkamrushia mkojo usoni...
Mlimuita JK ni dhaifu leo hii mnamuita Magufuli dikteta.

Hivi kuna mlevi wa madaraka kama Mbowe?
Alibadili katiba ya Chadema ili aendelee kuwa Mwenyekiti...aliwafukuza kina Zitto kisa tu uwenyekiti bila kusahau figisu figisu dhidi ya Wangwe.Huyo ndio mlevi wa madaraka ambaye akiwa pamoja na wewe mbobezi wa kumshabikia mnatuaminisha kuwa mnaijua demokrasia...so sad ...!

Ccm ndio yenye dola na umma kwa sasa...yaani CCM ikiamua kuwaingiza wanachama na wafuasi wake barabarani hata kwa showoff tu hakutakalika.

Hata mimi natoa ushauri unbiased ila wewe umeamua kuungalia kwa jicho biased
Kweli kabisa CCM nayo ikisema ifanye haya mambo kama wanayofanya upande mwingine hata kidogo tu mtaani kutafurika
 
Nawakumbusha tu kuwa Ushindi ni magoli yawe ya kichwa au kisigino yote hufungwa kwa ustadi mkubwa na mafundi wa kufunga yaani Top Scorer!

Nawakumbusha kuwa ushindi katika mechi ni mpango wa muda mrefu na usajili unaofanyika chini ya jopo la benchi la ufundi ...na ikumbukwe kuwa usajili hufanyika kabla ya mashindano na sio siku moja au mbili kabla ya mashindano.

Maandalizi ya mechi hufanyika mapema sana ili kujihakikishia ushindi.

Kamwe Ushindi hauji kwa kukurupuka...au kuokoteza mastriker wa mechi za mchangani.

Vivyo hivyo ushindi haujawahi kuletwa na loosers so never invest on looser halafu uxpect kushinda.

Mwaka 2015 Chadema iliwekeza kwa looser mmoja kutoka CCM na mkatuaminisha na picha za mafuriko kuwa ati ushindi utapatikana asubuhi saa nne.

Sasa kwa mara nyingine tena mnawekeza kwa "once a looser" na mnataka kuwaaminisha wananchi eti mtashinda hili game!!Shame on you and your strategy team kama ipo.

Maswali muhimu....

Je CCM ilivyoamua "kununua" kama mlivyozoea kusema wagombea wenu wa udiwani na kuwarudisha kugombea kwa tiketi zinazouza za chanikiwiti ilikuwa haijajipanga?

Baada ya CCM kufanikiwa katika zoezi hilo lililowagusa madiwani wenu katika ngome zenu kwa asilimia 99 na hatimaye kuanza kunyemelea ubunge je ilikuwa haijajipanga?

Je kuna mwananchi atakubali kuwekeza kwa wagombea wenu ambao potentially wako sokoni kila kukicha??

Nawaasa kushughulikia tatizo kubwa zaidi ndani ya chama yaani usaliti kabla ya kuongeza idadi yawasaliti halafu mnabaki kutulilia kila kukicha.

Naendelea kuwashauri kuwa mnapoweka "Too much " expectations muandae na madawa ya kushusha presha na misongo ya mawazo...yaani muandae na madaktari wa kutibu post trauma Stress Disorders .

CCM iliyo adilifu ,mpya na moja ni kali zaidi ya barca ya kina messi na Iniesta !!

Nawatakia jumapili njema kutokea Kutokea Manyanya nikielekea ufipa kwa kazi maalumu!
Wewe mbona hujachoka
Uwazi na ukwel = mkaishia kutuuzia nyumba za umma
Ari mpya nguvu mpya = Anguka.mkaishia kununua kivuko kobovu hadi mkakipeleka jeshini ili kisihojiwe na wasio wajinga kama wewe.
Hapa kazi tu = mkaishia kuanzisha kangaroo court ya mafisadi huku mkikikuza deni la taifa na kuuwa watu . (Akwilina) ni mfano hai. Nasikia kuna mwingine katekwa huko usiku wa manane
Kama wewe hujachoka na huo uongo hapo juu kwann unauliza wenzio?
Sikushangai kwakuwa ni mjinga kuliko wenzio wote huko ulipo
Mtaua wangapi? Mtakimbia na masanduku ya kura mpaka lini?
 
Tarehe kumi na tatu ndio leo ...yaani baadae kuna tukio maalum likijumuisha tathmini ya yaliyojiri kwenye uchaguzi na of course mpango kwa ajili ya uchaguzi mwingine.

WEMBE NI ULE ULE ILA WA SASA UMENOLEWA
 
Back
Top Bottom