WanaCCM mmemsikia Dr. Masaburi?

WanaCCM mmemsikia Dr. Masaburi?

isidingo 1961

Senior Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
106
Reaction score
13
Yametimia Dr. Masaburi amekiri kuwa CCM inaendesha siasa za Maji taka kwa wanachama wake. Pamoja Na ukongwe wa chama hicho bado siasa zake ni za kupakana matope. Masaburi amewalaumu wanaCCM wenzake kwa kuwasingizia wagombea kuwa wagonjwa, mafisadi n.k.

Tunapenda kumkumbusha Masaburi hizo ndio siasa za CCM siasa za Hovyo hazina Sera Matusi Kuwasingizia uongo wagombea Unafiki Na kila aina ya siasa chafu. Hata Rostam Aziz aliwahi kuachana Na siasa za Tanzania Na kuziita "SIASA UCHWARA"
 
Yametimia Dr.Masaburi amekili kuwa CCM inaendesha siasa za Maji taka kwa wanachama wake.Pamoja Na ukongwe Wa chama hicho bado siasa zake ni za kupakana matope.Masaburi amewalaumu wanaccm wenzake kwa kuwasingizia wagombea kuwa wagonjwa, mafisadi n.k.Tunapenda kumkumbusha Masaburi hizo ndio siasa za CCM siasa za Hovyo hazina Sera Matusi Kuwasingizia uongo wagombea Unafiki Na kila aina ya siasa chafu.Hata Rostam Aziz aliwahi kuachana Na siasa za Tanzania Na kuziita "SIASA UCHWARA"

hivi huyu masaburi anategemea nini kwa wabunge alowaita wanafikiri kwa kutumia makalio?
 
Ha ha ha nimecheka sana hivi masaburi wakati anaendesha siasa chafu zidi ya ukawa alidhani anahati miliki ccm?

Sasa ndo ajue kuwa mwosha huoshwa analakujifunza hapo na kuna mapopoma wengine humu ndani pia wamekuwa mstari wa mbele shangilia upuuzi unaofanywa na jeshi la polisi kupitia viongozi aina ya akina masaburi wasijue ipo siku yatawafika wao na kipimo hiki hiki wanachowapimia wenzao ambao wananyanyasika nao watapimiwa.


Ni swala la muda tu
 
Sasa hivi utasikia wale wanaojiita chadema asilia humu ndan wametoweka maana mdhamini wao mkubwa yameshamfika shingoni sasa
 
Ha ha ha nimecheka sana hivi masaburi wakati anaendesha siasa chafu zidi ya ukawa alidhani anahati miliki ccm?

Sasa ndo ajue kuwa mwosha huoshwa analakujifunza hapo na kuna mapopoma wengine humu ndani pia wamekuwa mstari wa mbele shangilia upuuzi unaofanywa na jeshi la polisi kupitia viongozi aina ya akina masaburi wasijue ipo siku yatawafika wao na kipimo hiki hiki wanachowapimia wenzao ambao wananyanyasika nao watapimiwa.


Ni swala la muda tu
Unajua, unapopanda mbigili hufikirii kuwa na wewe utakuja kupita kwenye njia hiyo hiyo sometimes later. Siasa za majitaka zinapendeza sana wakifanyiwa wapinzani, ila wakifanyiana wao kwao ndo tunasikia haya malalamiko. Masaburi, Jerry Silaa na Sitta wana la kujifunza katika siasa za nchi hii.
 
Watu ni muhimu kujua maana ya fairness today maana hatujui kesho itatuletea nini! Nahisi Masaburi hakuijua kanuni hii hapo zamani ndiyo maana imekula kwake sasa! Shame on u Masaburi!
 
Unajua, unapopanda mbigili hufikirii kuwa na wewe utakuja kupita kwenye njia hiyo hiyo sometimes later. Siasa za majitaka zinapendeza sana wakifanyiwa wapinzani, ila wakifanyiana wao kwao ndo tunasikia haya malalamiko. Masaburi, Jerry Silaa na Sitta wana la kujifunza katika siasa za nchi hii.

nimemsikia leo masaburi akisema kuwa kaamua kujitoa kwenye uspika ili kuwapisha wenye sifa stahiki, nkajiuliza swali hivi alivochukua form ya uspika hakujiona hana sifa??? hakujitathimini?????
 
Back
Top Bottom