WanaCCM mmemsikia Dr. Masaburi?

WanaCCM mmemsikia Dr. Masaburi?

Ha ha ha nimecheka sana hivi masaburi wakati anaendesha siasa chafu zidi ya ukawa alidhani anahati miliki ccm?

Sasa ndo ajue kuwa mwosha huoshwa analakujifunza hapo an kuna mapopoma wengine humu ndani pia wamekuwa mstari wa mbele shangilia upuuzi unaofanywa na jeshi la polisi kupitia viongozi aina ya akina wasijue ipo siku yatawafika wao na kipimo hiki hiki wanachowapimia wenzao ambao wananyanyasika nao watapimiwa.


Ni swala la muda tu

cc FaizaFoxy , jingalao
 
Last edited by a moderator:
yametimia dr. Masaburi amekiri kuwa ccm inaendesha siasa za maji taka kwa wanachama wake. Pamoja na ukongwe wa chama hicho bado siasa zake ni za kupakana matope. Masaburi amewalaumu wanaccm wenzake kwa kuwasingizia wagombea kuwa wagonjwa, mafisadi n.k.

Tunapenda kumkumbusha masaburi hizo ndio siasa za ccm siasa za hovyo hazina sera matusi kuwasingizia uongo wagombea unafiki na kila aina ya siasa chafu. Hata rostam aziz aliwahi kuachana na siasa za tanzania na kuziita "siasa uchwara"
duniani kote hamna siasa za kulembalemba mtu murua hawezi kukimbilia siasa
 
Huyo nae kakatwa wapi au ameshindwa kujipendekeza hii wiki koja iliyopita?
 
nimemsikia leo masaburi akisema kuwa kaamua kujitoa kwenye uspika ili kuwapisha wenye sifa stahiki, nkajiuliza swali hivi alivochukua form ya uspika hakujiona hana sifa??? hakujitathimini?????
Hakujitoa, bali katolewa.
 
Back
Top Bottom