Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 357
Kama utumaji wa email hawa jamaa wanangoza...Tena wengine wanatumia email za company mtu anaandika page hata tatu..Unajiuliza anafanya kazi saa ngapi!! Then how wanakuwa na access za email za watu...huyu mwenye wanabidii anaweza ku hack email za watu unajikuta tu ameshakutumia..then zinaanza email kama mia kwa siku.
Unajiuliza anafanya kazi saa ngapi...si ndio hawa unakuta kwenye meza kajaza file kibao zinatakiwa kuwa attended wanasema boss yuko busy...nchi inakuwa slow katika kutembea...Kama mtu kwenye company domain, na email ya company...facility za company unakaa kwa siku unaandika page kama nne..kuhusu siasa za nchi hiii...
Dah...naweza kujitoa kwenye wanajamii..
Unajiuliza anafanya kazi saa ngapi...si ndio hawa unakuta kwenye meza kajaza file kibao zinatakiwa kuwa attended wanasema boss yuko busy...nchi inakuwa slow katika kutembea...Kama mtu kwenye company domain, na email ya company...facility za company unakaa kwa siku unaandika page kama nne..kuhusu siasa za nchi hiii...
Dah...naweza kujitoa kwenye wanajamii..