Wapinzani wanatuchelewesha...NAWAZA LINI SISI TUTAFIKA HUKU
Hamna chochote wanachoenda kufanya huko zaidi ya kupokea wageni ambao sio rafiki kwa binadamu.nani alikuwa anawapikia huko angani, walikuwa wanakunya wapi huko angani. walienda kufanya nn huko angani? wamegundua nn kwa fauda ya dunia?
hahaha huko utapata dem gani angani? ama unataka vampareYani unipeleke angani afu unirudishe bila demu?? Aah wap
Naona Tuanze tu na kwa Kupanda Mlima KilimanjaroNAWAZA LINI SISI TUTAFIKA HUKU
Ok, wazungu wamefika mbali
Watu wenye akili kubwa hawana time na hayo mambo.Sasa mgegedo veepe wengine wiki nzima kupita bila kutimiza majukumu ya mkuyenge haiwezekani
😆😂 Huwa hatupendi Kiki...!Hata watanzania kibao wachawi huwa wanaenda anga za juu kwa kutumia ungo
Sema tu vyombo vyetu vya habari huwa haviandiki
Mpaka Sasa Hivi Tumepoteana Sisi Bado Tunapika Taarifa Siyo Wakweli Sasa Sayansi Haitaki UjanjaujanjaTuanzie wapi sasa. ?