de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,227
- 22,305
- Thread starter
- #41
Wewe ndo unaongea kwa mihemukoMpira hautaki kuongea kwa hisia zako hauna fact za kumkataa Shalulile na pia hata hujui history yake umekula maharage yako unaamua kuanzisha uzi..
Sasa mtu anaingia uwanjani anakuwa mshauri wa kila mchezaji...
Kawa kocha?