St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
St. Paka Mweusi ndo maana Madame B anakuzingua...
Point teken,kuna haja ya kujipanga upya hapa Madame B,naruhusiwa kukupiem..??
Last edited by a moderator:
St. Paka Mweusi ndo maana Madame B anakuzingua...
St. Paka Mweusi ndo maana Madame B anakuzingua...
Kaizer,
Msiri wangu ananiletea Pozi tu hapa.
Kusema hasemi anabaki kujiuguzia ku Moyo.
Chezea muke ya Lawyer wewe!!!
Msiri wangu unataka nini tena jamani?
Me nimeshachumbiwa jamani!!
Ogopa jela wewe.
Vya Mutu vichungu!!
Yuko wapi kwanza saa hizi,sijamuona na vitisho vyake,
mwambie ntamfungulia mashataka ya kutishia kuua....
Haina noma si unajua tena msiri anaficha mengi
hata hilo nitakufichia na ninaahidi hata kama
tutaudhiana basi siri itabaki kuwa siri milele
Bado hujaongea! Utanyoosha na chini !
Unadhani itaishia juu tu ?
Na dauni !
Haina noma si unajua tena msiri anaficha mengi
hata hilo nitakufichia na ninaahidi hata kama
tutaudhiana basi siri itabaki kuwa siri milele
Yuko wapi kwanza saa hizi,sijamuona na vitisho vyake,
mwambie ntamfungulia mashataka ya kutishia kuua....
Teh teh teh teh teh,
haya bhana,
nimekunyooshea mikono juu.
Dawa ni kuikata ili usilete usumbufu.