Acha uhuni...We Yanga tangu lini? We ni donbeny!!Mimi ni Yanga ila tupo dhaifu sana sitegemei miujiza yoyote kushinda J5
...Ni kwamba hii mechi tumeicheza muda mrefu ila ni bahati mbaya sana kwamba Watani zetu Yanga FC ' wameshatutega ' sehemu mbili kwanza Bandarini Dar na pale Bandarini Zanzibar ( Watu wa mpira hapa najua mtanielewa )...
Naona tunachekana kwa Manji kuwa ndani ya selo lakini kumbukeni hata Aveva et al. wote wako ndani pia.Hamna kitu huyu si alijifanya mrundi katoka kijiji kimoja na Haruna !
Wangekuwa na uwezo huo si wangeshakuwa mabingwa wa afrika au waloge ili manji atoke !!
Kamati zenu huko huko ss tunataka mabadiliko na kuendesha timu kisasa