NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,746
Kocha wa Jwaneng galaxy Fc amesema kuwa "Simba sc Kama wanataka kulipa kisasi basi wangelipa zile goli 5 walizofungwa na Yanga Sc"
Maoni Yangu: kwa muonekano huu inaonekana Jwaneng galaxy Fc wanataka hii mechi tahadhari kwa Mo dewji Fc.
Link hii hapa ya interview.
View: https://twitter.com/ndembo255/status/1763565383934427635?t=MfdKxScgj3Em1sJT2S9S4Q&s=09.
Maoni Yangu: kwa muonekano huu inaonekana Jwaneng galaxy Fc wanataka hii mechi tahadhari kwa Mo dewji Fc.
Link hii hapa ya interview.
View: https://twitter.com/ndembo255/status/1763565383934427635?t=MfdKxScgj3Em1sJT2S9S4Q&s=09.