Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,399
- 191,514
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Sina sura ila tutamia Yako au unaonaje
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Sina sura ila tutamia Yako au unaonaje
Au. Mkipenda hamsikii harufu ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Nimekupa mbinu ya kumsaidia kuhusu kunuka mdomo.Hapa tunapeana mbinu za kimaisha, kunuka jambonla kawaida, mtu yeyote anaweza kuwa na hali hiyo.
Tupeane mbinu tu kujiweka sawa.
๐น๐น๐น๐น๐น๐๐๐๐๐๐๐๐
Mkuu umenena sawa kabisa, niko naye siku nyingi ila sijui namna ya kumwambia asije nichukia.Hii umeokoteza mahali ila inaweza kusaidia wengine. Pekua hapa hapa kuna nyuzi nyingi tu zinazungumzia solution. i.e unavyoweza kumwambia bila kumuudhi.
![]()
Nawezaje kumwambia mtu kuwa mdomo wake unatoa harufu kali bila kumuudhi?
Yaani niko mahali na mtu mdomo unatoa harufu kali mpaka hewa inakuwa nzito, sasa ukimuangalia ni kijana mdogo miaka 21. Naombeni namna ya kumwambia kama mdomo wake unatoa harufu bila kumuudhi, maana nahisi watu wengine hawawezi kuvumilia hiyo harufu inayotoka.www.jamiiforums.com
Nitafanya hivyo mkuu!Nimekupa mbinu ya kumsaidia kuhusu kunuka mdomo.
Nimekueleza kuwa, hakikisha:
1. Anakula ndizi mbivu 1 au mbili kabla ya mechi au
2. Hakikisha anatafuna karafuu
Ndizi na karafuu hukata harufu ya mdomo hata kwa mlezi..hii inafanya 100%
Huwezi ktuelewa wanaume, siye basi tu!Kwanini unahangaika na michepuko? Mkeo nae ananuka? Kwanini usitulie na mwenza wako tu?