CHADEMA WANAFANYA MAMBO YA KITOTO SANA....
WENZAO WANAGROUM CHIPUKIZI WAO WAMEKAZANA NA AKINA BIBI MDEE
SHENZIIIIIIII KABISA
Rais anaruhusiwa na Katiba kumsamehe yeyote yule hata kama alihukumiwa kifungo cha maisha !!
Mkuu Drifter, honest and genuineness ya mtu inakaa ndani yake, ila pia ni kama ilivyo justice, must not only be done, but must be seen to be done!.
Ushauri honest and bonafide genuine must be seen with naked eyes.
Kama mtu anaye toa ushauri kama huu, unauona ni ushauri wa ki Yuda Eskariote na kuniulizia how many βpieces of silverβ?, then naomba niheshimu mawazo yako kwasababu watu hatufanani, and we don't think the same!.
P
Kwasasa nimeanza kupata wasiwasi kuwa hizi ni sarakasi tu za kuwazuga wanachama vichaa kama akina Boni, Mdude na Martin, ili kuvuta muda hadi 2025 ikabie. watasameheana kisha maisha ya hadaa yataendelea.
Maamuzi ya mahakama yako wazi, what needs to be done is clear, but Mnyika is bragging on the media about writing to Madam Speaker sijui to remind her to kick akina Mdee out. Isnβt that madness??
Mayalla huyu ninayemfahamu mimi, mimi siku zote humtofautisha Paskali na Chadema na analijua hilo kupitia Posti zangu, bahati nzuru leo ndiyo mara yako ya kwanza kuniona.Mkuu, kama umemfuatilia Mayala kwa muda mrefu ni rahisi kujua target zake nim zipi. Hana chuki na Mbowe, na hata akitoka CHADEMA (Mbowe), bado (Mayala) ataendelea kuiattack CHADEMA chini ya kivuli cha kujifanya anaishauri.
Mayala anatafuta teuzi/cheo kule CCM, na baada ya kufeli kukubalika ndani ya chama chake, ameamua kuchagua namna mpya ya kujijenga. Amechagua kuiattack CHADEMA, na hao kina Mdee ni mtaji wake. Anguko la CHADEMA ni neema kwa CCM, inaleta mashaka kuona mwanaccm anaipa ushauri CHADEMA namna gani ifanye ili kuwa Imara. Mayala amekuwa too predictable siku hizi, haihitaji akili nyingi kufahamu bandiko lake lijalo atazungumzia nini.
Paskali, nyie ni watu wawili na Chadema ni zaidi ya nyie watu wawili ni taasisi hivyo sijui mtatumia miujiza gani kuiangisha! Pamoja na kazi na jasho hulipa lakini kwa hili nasema hapana, angalia Post zako tangu 2013 labda na nyuma umekuwa ukisema Chadema imekufa in wishes lakini machoni Chadema ipo na ni ileile, ila najiuliza mathlani leo ikifa furaha yenu ni kuona wafuasi wake wamekosa haki yao ya kupenda wakipendacho? Ni wachawi tu watafurahia hilo.Mkuu Drifter, honest and genuineness ya mtu inakaa ndani yake, ila pia ni kama ilivyo justice, must not only be done, but must be seen to be done!.
Ushauri honest and bonafide genuine must be seen with naked eyes.
Kama mtu anaye toa ushauri kama huu, unauona ni ushauri wa ki Yuda Eskariote na kuniulizia how many βpieces of silverβ?, then naomba niheshimu mawazo yako kwasababu watu hatufanani, and we don't think the same!.
P
Walipigwa marufuku, ila acha kutukana kwani wewe haujawahi kufanya lolotela maana hapa duniani zaidi ya kusugua ashua zako.CHADEMA WANAFANYA MAMBO YA KITOTO SANA....
WENZAO WANAGROUM CHIPUKIZI WAO WAMEKAZANA NA AKINA BIBI MDEE
SHENZIIIIIIII KABISA
nashauri wakomae nao walanieweWanabodi
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa, Chadema ni chama cha Kitaifa hivyo haya yanayoendelea ndani ya Chadema katika huu mgogoro wake na wabunge wake 19 wa viti maalum, una athari za Kitaifa zenye maslahi kwa taifa. Hoja yangu ya leo ni hii ,"kuna watu wana macho lakini hawaoni!, na wana masikio lakini hawasikii!". Swali ni je Chadema wana macho na yanaona?. Je wana masikio na yanasikia?. Kwenye hili la Wabunge 19, je Chadema wawasamehe wabarikiwe, au waendelee kukomaa nao mpaka kieleweke hata kama ni kulaaniwa?.
Naomba kukiri kupandisha bandiko hili, kwa inspirational kutoka andiko la Kaka yangu/mdogo wangu na bosi wangu kule TEF, Deodatus Balile.
Balile ameandika bandiko hili akiwa safarini jijini New Delhi nchni India.
C&P ya Balile
Mwisho wa kunukuu
Chief @β¨Balileβ© , nikiwa New Delhi nilijifunza imani ya Hinduism kuhusu kitu kinachoitwa karma, hivyo ushauri wako kwa Chadema, utawaepushia Chadema karma ya mambo
mabaya waliowatenda hawa wadada 19 ambao mimi nawaita ni mashujaa, hivyo huu ni ushauri mzuri, wa hekima na busara sana kwa Chadema wenye maslahi kwa Chadema na maslahi kwa taifa only if Chadema wana macho ya kuona na wanaona, na wana masikio ya kusikia na wanasikia, kwasababu kuna watu wana macho lakini hawaoni, na wana masikio lakini hawasikii.
Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakabiliwa na kesi ya ugaidi, nilipandisha makala mfufulizo za Kilio cha Haki, nikiangazia haki jinai.
Kwenye sala yetu ya Baba Yetu, kuna mstari "Utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea" hivyo tulimpongeza rais Samia kwa kauli hii baada ya Freeman Mbowe kuombewa msamaha
Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
Baada tuu ya bandiko hili, haukupita muda hatimaye Freeman Mbowe alisamehewa na kesi ya Mbowe ilifutwa!,
Sisi wa kupongeza tukapongeza
Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
Sasa kuna ugumu gani Chadema kuwasamehe hawa wabunge wake 19?.
Hili sakata la wabunge hawa toka lilipoanza, mimi nimekuwa very open, objective and very transparent
Na nikashauri Chadema
Katika Salaam zangu kwa mwaka mpya, Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
Japo kwa jicho la juu juu, hao 19, wanaonekana kama wameshinda kesi yao mahakamani but in reality ni wameshindwa na hili nililisema The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! kwasababu katiba ya Chadema ina kipengele kilicho kinyume cha katiba, mwanachama wa Chadema akifungua shauri lolote mahakani, akishindwa kesi ni amejifukuzisha, hivyo Mahakama tayari imeishabariki kufukuzwa kwao, salama yao ni kusamehewa tuu!.
Kwa vile mimi namfahamu Freeman Mbowe kuliko Chadema wengi, Mbowe ni muungwana, Mbowe ni mtu wa shukrani, na baada ya kikao cha CC kuwatimua, Freeman Mbowe aliingia huruma na kufukuzwa kwao, akawasamehe, akawaita Nairobi, akawasamehe, akawashauri waombe msamaha, ili wayamalize, wakamgomea!.
It's high time Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Aikael Mbowe, kuitumia kofia yake ya Uenyekiti wa Chadema kwa kuitekeleza kwa vitendo sala ya Baba Yetu, kwa mtindo wa reciprocity kama yeye alivyosamehewa bila kuomba msamaha, sasa ni zamu ya na yeye kusamehe tuu bila kuombwa msamaha?., au Chadema iendelee kukomaa nao ili kuwaonyesha, kuwakomoa na kuwanyorosha?.
Tena na mimi kwa vile ubavu wangu ni pande za Kaskazi, na mimi nimeunga tela hija za migombani.
Merry Christmas
Paskali.
Ukisoma comments za wadau utaona kwamba zaidi ya asilimia 90 wanapinga ulichokiandika. Maana yake ni kwamba hoja zako hazina relevance yoyote, hivyo unatakiwa kubadilika. Watu si wajinga tena wa kulishwa propaganda zako.Wanabodi
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa, Chadema ni chama cha Kitaifa hivyo haya yanayoendelea ndani ya Chadema katika huu mgogoro wake na wabunge wake 19 wa viti maalum, una athari za Kitaifa zenye maslahi kwa taifa. Hoja yangu ya leo ni hii ,"kuna watu wana macho lakini hawaoni!, na wana masikio lakini hawasikii!". Swali ni je Chadema wana macho na yanaona?. Je wana masikio na yanasikia?. Kwenye hili la Wabunge 19, je Chadema wawasamehe wabarikiwe, au waendelee kukomaa nao mpaka kieleweke hata kama ni kulaaniwa?.
Naomba kukiri kupandisha bandiko hili, kwa inspirational kutoka andiko la Kaka yangu/mdogo wangu na bosi wangu kule TEF, Deodatus Balile.
Balile ameandika bandiko hili akiwa safarini jijini New Delhi nchni India.
C&P ya Balile
Mwisho wa kunukuu
Chief @β¨Balileβ© , nikiwa New Delhi nilijifunza imani ya Hinduism kuhusu kitu kinachoitwa karma, hivyo ushauri wako kwa Chadema, utawaepushia Chadema karma ya mambo
mabaya waliowatenda hawa wadada 19 ambao mimi nawaita ni mashujaa, hivyo huu ni ushauri mzuri, wa hekima na busara sana kwa Chadema wenye maslahi kwa Chadema na maslahi kwa taifa only if Chadema wana macho ya kuona na wanaona, na wana masikio ya kusikia na wanasikia, kwasababu kuna watu wana macho lakini hawaoni, na wana masikio lakini hawasikii.
Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakabiliwa na kesi ya ugaidi, nilipandisha makala mfufulizo za Kilio cha Haki, nikiangazia haki jinai.
Kwenye sala yetu ya Baba Yetu, kuna mstari "Utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea" hivyo tulimpongeza rais Samia kwa kauli hii baada ya Freeman Mbowe kuombewa msamaha
Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
Baada tuu ya bandiko hili, haukupita muda hatimaye Freeman Mbowe alisamehewa na kesi ya Mbowe ilifutwa!,
Sisi wa kupongeza tukapongeza
Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!
Sasa kuna ugumu gani Chadema kuwasamehe hawa wabunge wake 19?.
Hili sakata la wabunge hawa toka lilipoanza, mimi nimekuwa very open, objective and very transparent
Na nikashauri Chadema
Katika Salaam zangu kwa mwaka mpya, Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
Japo kwa jicho la juu juu, hao 19, wanaonekana kama wameshinda kesi yao mahakamani but in reality ni wameshindwa na hili nililisema The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! kwasababu katiba ya Chadema ina kipengele kilicho kinyume cha katiba, mwanachama wa Chadema akifungua shauri lolote mahakani, akishindwa kesi ni amejifukuzisha, hivyo Mahakama tayari imeishabariki kufukuzwa kwao, salama yao ni kusamehewa tuu!.
Kwa vile mimi namfahamu Freeman Mbowe kuliko Chadema wengi, Mbowe ni muungwana, Mbowe ni mtu wa shukrani, na baada ya kikao cha CC kuwatimua, Freeman Mbowe aliingia huruma na kufukuzwa kwao, akawasamehe, akawaita Nairobi, akawasamehe, akawashauri waombe msamaha, ili wayamalize, wakamgomea!.
It's high time Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Aikael Mbowe, kuitumia kofia yake ya Uenyekiti wa Chadema kwa kuitekeleza kwa vitendo sala ya Baba Yetu, kwa mtindo wa reciprocity kama yeye alivyosamehewa bila kuomba msamaha, sasa ni zamu ya na yeye kusamehe tuu bila kuombwa msamaha?., au Chadema iendelee kukomaa nao ili kuwaonyesha, kuwakomoa na kuwanyorosha?.
Tena na mimi kwa vile ubavu wangu ni pande za Kaskazi, na mimi nimeunga tela hija za migombani.
Merry Christmas
Paskali.
Mkuu Telesphore Magobe T, mimi niko very honest, najihesabu ni mtetezi huru wa haki, na hata kama ni wakosefu wanaostahili kuhukumiwa kufukuzwa, basi wahukumiwe kwa haki, kama ni kufukuzwa wafukuzwe kwa haki.Ni kweli maana naona kama anawabeba mgongoni kiaina na hataki kuona walichokifanya, bali anaona tu Chadema wanachotakiwa kufanya kuhusiana na hao 19.
Mkuu malantu , umeisha wahi kukisikia kitabu kinaitwa "An Enemy of the People " kilichoandikwa na Hendrix Ibsen?Ukisoma comments za wadau utaona kwamba zaidi ya asilimia 90 wanapinga ulichokiandika. Maana yake ni kwamba hoja zako hazina relevance yoyote, hivyo unatakiwa kubadilika. Watu si wajinga tena wa kulishwa propaganda zako.
Umemaliza yote mkuu.1. Kusamehe maana yake ni nini? Ni mtu mwenyewe anayehusika kuona alilolifanya ni kosa au baya na anajuta kwa nini alilifanya na anaomba asamehewe huku akisema hatarudia tena. Hii ndiyo maana halisi ya kusamehe.
2. Kama mhusika (alyefanya kosa/baya) haoni kosa/baya alilolifanya na kwa sababu hiyo haoni haja ya kuomba msamaha, hastahili kusamehewa. Kwa maneno mengine, kumsamehe mtu wa namna hii ni kazi bure!
3. Suala la wabunge 19 kuna issues 2: 1) Je, waligushi barua na saini na kwenda kuapishwa bila ridhaa ya Chadema au 2) waliteuliwa na Chadema na kuandikiwa barua ya kuwaidhinisha waapishwe? Kwa maneno, mengine wanaosema ukweli katika jambo hili ni Chadema au ni hao wabunge 19? Kama wanaosema ukweli ni hao 19 na katika yote wanaomba warudi (kwa vile wanaona hawana cha kutubu na hawana sababu ya kutubu), hapa ni kweli wasamehewe kwa sababu Chadema wamewakosea. Kama wanaosema ukweli ni Chadema na hao 19 pamoja na kuona kwamba walifanya kosa na wanakomaa kutosema kwamba walifanya kosa isipokuwa wanataka kusamehewa bila kuona kosa lao, hapa hawastahili kusamehewa. Acha Chadema ife, lakini siyo kusamehe watu ambao wao wenyewe hawataki kukiri kosa lao (labda tu kwa maana kwamba kwa sasa issue ya hao 19 kwa Chadema si issue tena ya kuwapotezea muda na fedha).
4. Hivyo, kwa upande wangu kama ni kusamehe lazima kuwe na justification (and the justification is for them to come forward and say they did ABC and now they are sorry and ask for forgiveness), but if there is no justification I cannot see why they should be forgiven.
Mkuu Hismastersvoice , I don't know how old you are, ila uliwahi kusikia kipindi kinaitwa Kiti Moto?, na kilikuwa kinaendeshewa wapi?.Tujaribu kutafiti chuki za Paskali dhidi ya Chadema zilianza nini na nini ilikuwa chanzo na hasa dhidi ya Mbowe jambo ambalo yeye halifichi, binafsi ninaamini Mbowe akitoka Chadema Paskali atazaliwa upya, roho yake itakuwa huru.
Shenzi mwenyewe. Hao wanagroum chipukizi wanavunja sheria unataka Chadema nao waingie kwenye huo ushenzi wa kutokuheshimu sheria za nchi. Hao akina Halima walishavuliwa uanachama kitambo hao ni wanaccm. SCHADEMA WANAFANYA MAMBO YA KITOTO SANA....
WENZAO WANAGROUM CHIPUKIZI WAO WAMEKAZANA NA AKINA BIBI MDEE
SHENZIIIIIIII KABISA
Kwani wameomba msamaha..?Naunga mkono hoja π― π
Hata Mkuu wa Nchi amepewa madaraka ya kumsamehe yeyote yule aliyefungwa na anatumikia kifungo !!
Kwanini kwa Chadema Chama makini kinashindwa kusamehe ??!!
Hata maandiko yanasema Ukisamehe nawe Utasamehewa !! πππ
Maneno kuntu kabisa haya kwa Pascal.Kaka pascal,tunajuheshimu Sana Tena Sana.
Ila kwa Sasa hoja zako zina walakini.
Tayari wewe rangi yako inajulikana,Mara mia ungeendelea kujifanya uko neutral.
Mda mwingine usomi wenu inafikia kuonekana hopless kwa wengi waliokuwa na matumaini nanyi.
Kinachowaharibia kaka,ni uchawa,kujipendekeza,kuhitaji huruma kutoka kwa mwenyekiti WA CCM,Njaa,undumilakuwili,hamsimamii misimamo ya Haki.
Ila kikubwa mnaangalia maslahi yenu Kwanza na sio maslahi ya Taifa.
Mpaka mda huu wewe,usiwe unatuletea mabandiko yahusuyo siasa kana kwamba wewe upo pembeni.
We jikite katika kujenga Chama chako na mabandiko yahusu chama chako kikongwe.
Mbona hujawahi tuletea bandiko lonalohusu Utawala WA CCM tangu uhuru mpaka Leo hii matatizo lukuki mpaka Nchi inakuwa maskini irihali Ina raslimali kedekede.
Kazi jusifiana kwa kutegemew teuzi.
Labda Kama kaka nimesahau,shusha Bandiko ulilowahi leta humu la kusisitiza Katiba mpya ipatikane iwe isiwe ikiwa na maana kuwa mwenendo WA kuongoza Nchi ya Sasa yenye wakazi millions 59+
Au ndo ile NYANI haoni kundule.
Tafadhaki kaka,watanzania WA Leo sio wale wa mwaka 1950.
Mnatukosea Sana wasomi WA Nchi hii mlio katika CCM.
Huu ndo ukweli,
Magufuri mlimsifu Sana,lakini mkasahau kuwa ni zao la Ccm.Tatizo la Nchi hii ni Katiba iliyopo haiendani na Ulimwengu wa Sasa.
CCM inaharibu Nchi hii kwa kukumbatia mfumo mbovu,wenye harufu ya kurithishana.
Usijaribu kushauri vyama vya siasa vikubwa Kama Chadema,ACT Wazalendo.kavishauri vile vya CCM B.
Uchaguzi WA 2020 Kuna chochote ulichokisema kweli,au ndo mabandiko ya kusifu na kuabudu.
Kaka X mas njema tu.
Kupenda HAKI......ni kichaa pekee atakuelewa.Mkuu Hismastersvoice , I don't know how old you are, ila uliwahi kusikia kipindi kinaitwa Kiti Moto?, na kilikuwa kinaendeshewa wapi?.
Kwa kukusaidia wewe na wengine, kipindi cha Kiti Moto, kilikuwa kinaendeshewa Kilimanjaro hotel na Club Billicanas, mimi wakati naoa vikao vyangu, harusi yangu tumeendeshea Club Billicanas na ukumbi ni Freeman Mbowe ametupa bure!.
Hivyo Mbowe ni rafiki yangu mkubwa na tumetoka nae mbali toka enzi za Mbowe Hotels hivyo sina chuki yoyote na Mbowe, kosa langu kubwa ni kupenda haki, kosa kubwa la Chadema ni kutotenda haki.
Unaweza kuniangalia nilizungumza na Mbowe usikilize kwa makini nimesema nini kuhusu mimi na Freeman
View: https://youtu.be/fxDX_gkCE1E?si=kXh5FLNJxYynqi_gPasco