William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,397
Ninawaomba ndugu zangu wote JF, mnipe nafasi nisilifanye hili kuwa siri bali ujumbe kwa ndugu zangu wote hapa JF. Katika siku mbili tatu zilizopita nimekuwa nikifanya utafiti wa kina ya yaliyojiri mpaka kuelekea kwenye yaliyotukuta karibuni, nimegundua mengi sana yanayotuhusu na yasiyotuhusu hapa JF, ninaomba niseme machache kati ya yanayotuhusu,
Pamoja na ujumbe mwingi niliopewa na wakulu, leo nimepewa ujumbe mzito usiokuwa na mjadala, na nitaufikisha kwenu ndugu zangu kama nilivyopewa, kwamba tuache matusi ya nguoni, tujadili hoja na zijibiwe kwa hoja, matusi tuache, nimeambiwa ndoa za viongozi na hata wananchi wengine ziachwe maana tunagombanisha wakulu na wake zao na familia zao kwa ujumla, maneno ya magonjwa ya viongozi ambayo sio public right tuyaache, unless kama yamesemwa wazi na officially, au unless mtu ana clear evidence azimbatanishe na hoja yake, nimeambiwa kuwa tunakubalika sana na serikali tunapokuwa na hoja na wapo nasi hapa kila siku, lakini tunaharibu na matusi na hasa siku za karibuni, wanasema zamani tulikuwa makini, lakini recently tumetoka nje ya mstari sana na wamenipa evidence mbali mbali kutoka topic nyingi hapa, humbly as a man nimezikubali na kuomba radhi kwa niaba ya wote hapa JF.
Sio nia yangu kujifanya wa maana sana kuliko wengine hapa, isipokuwa nimejitahidi kwa uwezo wangu kuombea kikombe cha damu kipite pembeni, na nimeahidi kwa niaba ya wote hapa JF, kuwa tutajitahidi kurudi tulikokuwa zamani, yaani kwenye hoja kwa hoja. Mkuu Invisible, please ndugu yangu na mods ninawaomba mnisikie ndugu zangu kuweni more serious na kufuta anything unlogical. Nimeamua kuyasema haya hadharani hapa hapa, ili kuondoa lawama mbele ya safari, na kuondoa usiri usiokuwa na maana kwenye hili. Na huu ujumbe unanihusu hata mimi pia, sio nyinyi ndugu zangu tu!
Ndugu zangu sina maswali wala majibu kwenye hili, anayetaka anisikie, asiyetaka ndio demokrasia yenyewe, lakini I hope kuna watakao nisikia. Ndugu zangu tumuamini Mungu, lakini tufunge milango ya magari yetu na funguo.
Field Marshall Es,
JF Kumkoma Nyani Giladi, Mchana Kweupeeee, na Where We Dare To Talk it out Openly!
Pamoja na ujumbe mwingi niliopewa na wakulu, leo nimepewa ujumbe mzito usiokuwa na mjadala, na nitaufikisha kwenu ndugu zangu kama nilivyopewa, kwamba tuache matusi ya nguoni, tujadili hoja na zijibiwe kwa hoja, matusi tuache, nimeambiwa ndoa za viongozi na hata wananchi wengine ziachwe maana tunagombanisha wakulu na wake zao na familia zao kwa ujumla, maneno ya magonjwa ya viongozi ambayo sio public right tuyaache, unless kama yamesemwa wazi na officially, au unless mtu ana clear evidence azimbatanishe na hoja yake, nimeambiwa kuwa tunakubalika sana na serikali tunapokuwa na hoja na wapo nasi hapa kila siku, lakini tunaharibu na matusi na hasa siku za karibuni, wanasema zamani tulikuwa makini, lakini recently tumetoka nje ya mstari sana na wamenipa evidence mbali mbali kutoka topic nyingi hapa, humbly as a man nimezikubali na kuomba radhi kwa niaba ya wote hapa JF.
Sio nia yangu kujifanya wa maana sana kuliko wengine hapa, isipokuwa nimejitahidi kwa uwezo wangu kuombea kikombe cha damu kipite pembeni, na nimeahidi kwa niaba ya wote hapa JF, kuwa tutajitahidi kurudi tulikokuwa zamani, yaani kwenye hoja kwa hoja. Mkuu Invisible, please ndugu yangu na mods ninawaomba mnisikie ndugu zangu kuweni more serious na kufuta anything unlogical. Nimeamua kuyasema haya hadharani hapa hapa, ili kuondoa lawama mbele ya safari, na kuondoa usiri usiokuwa na maana kwenye hili. Na huu ujumbe unanihusu hata mimi pia, sio nyinyi ndugu zangu tu!
Ndugu zangu sina maswali wala majibu kwenye hili, anayetaka anisikie, asiyetaka ndio demokrasia yenyewe, lakini I hope kuna watakao nisikia. Ndugu zangu tumuamini Mungu, lakini tufunge milango ya magari yetu na funguo.
Field Marshall Es,
JF Kumkoma Nyani Giladi, Mchana Kweupeeee, na Where We Dare To Talk it out Openly!