Wana jf tulio jirani tupungiane mikono

Wana jf tulio jirani tupungiane mikono

Mimi nipo kwenye trekta naenda kupalilia mpunga niwaletee ubweche mjini ili mzidi kujenga vichura na vifua vyenu, ila msisahau kupiga tizi,
 
We jamaa tumeshaigundua mbinu yako ya kimafia, yaani huku wamejaa wao tu na majina yao ya bandia, tumeshakustukia, kuna MTU anataka kujiunga kitengoni, mwambie afanyeje!!!yeye nadhani atakutafuata umfahamu vizuri!!ha ha ha ila huu Uzi unafurahisha, huku JF ni kwa wenye ujuvi wa mambo, na wajuvi wenyewe ni kama ninyi ha ha, au nimekosea mkuu
Hahahahahaha.....usihofu mkuu, ni kwa nia njema tu mkuu
 
Hahahahahaha.....usihofu mkuu, ni kwa nia njema tu mkuu
Haya mkuu, Mimi nipo kwenye hapa mnazi mmoja nagombania dirisha LA gari za tandika niende zangu kwa mparange huku, huku karibu uburudike na vibanda umiza ha ha ha
 
Mimi ni riafande aisee nipo pembeni ya mataa hapa napiga mabao nna tumbo kubwaaaa kwa sababu ya rushwa..... Ukiniona punga mkono
 
Mi nilijua JF hadi wanafunzi wanamiliki magari tinted na biashara heavy heavy,nyie wa daladala na mwendokasi mmetoka wapi humu? Anyway,nawapungia from my tinted old Avon bicycle...
 
Mi nilijua JF hadi wanafunzi wanamiliki magari tinted na biashara heavy heavy,nyie wa daladala na mwendokasi mmetoka wapi humu? Anyway,nawapungia from my tinted old Avon bicycle...
Ulidanganywa
 
Nipo kwenye Hiace ya kutoka Igoma To Buhongwa

Nimekaa siti ya nyuma huku upande wa kulia dirishani

Kuna jamaa anachungulia hapa ninachokiandika sijui anataka kunikwapua simu yangu.
 
Nimemnyoshea mkono jamaa hapa kanipiga ngumi eti anasema nilikuwa namtishia, hivyo nisirudie tena siku nyingine.
 
[emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom