Huu ni Uzi maalum kwa wana jf ambao watakuwa jirani jirani katika maeneo mbalimbali hapa tz na nje ya nchi.
Iko hivi unasema ulipo then unasema kama kuna mwana jf yeyote apunge mkono na wewe umpungie pia kama ukimuona.
Ni katika kufahamiana na kukuza undugu wetu.
Mimi nipo kwa daladala kuelekea makumbusho, nipo siti ya myuma nimevaa kofia...ukiniona punga mkono...
Iko hivi unasema ulipo then unasema kama kuna mwana jf yeyote apunge mkono na wewe umpungie pia kama ukimuona.
Ni katika kufahamiana na kukuza undugu wetu.
Mimi nipo kwa daladala kuelekea makumbusho, nipo siti ya myuma nimevaa kofia...ukiniona punga mkono...