Wana JF, nifanyeje ku-recover folders and files kwenye computer?

Silas Haki

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
368
39
Kwanza napenda kutoa pongezi kwa wana JF kwa kutokuwa wachoyo wa kupeana ujuzi hasa new technology.
Juzi nililazimika ku-format computer (laptop) yangu baada ya Spyware kuingia kwenye programs na kuzi-block na hivyo nimepoteza mafaili yangu ya muhimu sana. Je, kuna njia au namna ya kufanya ili ku-recover baadhi ya data zangu? Naomba msaada wa kitaalam wadau.
 
Kwanza napenda kutoa pongezi kwa wana JF kwa kutokuwa wachoyo wa kupeana ujuzi hasa new technology.
Juzi nililazimika ku-format computer (laptop) yangu baada ya Spyware kuingia kwenye programs na kuzi-block na hivyo nimepoteza mafaili yangu ya muhimu sana. Je, kuna njia au namna ya kufanya ili ku-recover baadhi ya data zangu? Naomba msaada wa kitaalam wadau.
Mkuu ukiformat sidhani kama unaweza kuricover mafile yako, any way mimi sio mtaalamu ngoja watakuja wenyewe, si unajua tena leo jpili wengi hawapo online hadi kesho jtatu
 
Tafuta file recovering software, zitakusaidia kurejesha file (Data) zako. just googling online...!
 
Google software iitwayo recover ma files... Ni kasoftware kadogo tu... But katakuwezesha kupata all your files... Whether uliformat or ulidelete..
Kamenisaidia sana...
peace, love & blessings...
 
Google software iitwayo recover ma files... Ni kasoftware kadogo tu... But katakuwezesha kupata all your files... Whether uliformat or ulidelete..
Kamenisaidia sana...
peace, love & blessings...

Hii software ni nzuri nimeona inaweza ku-recover mafaili lakini mwishoni inanitaka kununua activation key online, je nifanyeje na mimi sina credit card ya kuweza kununulia vitu kwenye mtandao?
 
ulipoformat ulitakaje?
Apandacho mtu ndicho avunacho!
Ungeomba ushauri mwanzo kabla hujafanya lolote labda huyo kirusi angetenguliwa kiuno kiurahisi na mafaili yako yote yangekuwa salama.
 
ulipoformat ulitakaje?
Apandacho mtu ndicho avunacho!
Ungeomba ushauri mwanzo kabla hujafanya lolote labda huyo kirusi angetenguliwa kiuno kiurahisi na mafaili yako yote yangekuwa salama.

Maneno yako hayajengi, hapa kwenye JF tunachotaka ni kuongezeana na kubadilishana ujuzi. Kuna wataalamu wazuri tu wa IT na tayari wameshatoa mchango ambao mimi naona unaweza kumsaidia mtu yoyote.
 
Maneno yako hayajengi, hapa kwenye JF tunachotaka ni kuongezeana na kubadilishana ujuzi. Kuna wataalamu wazuri tu wa IT na tayari wameshatoa mchango ambao mimi naona unaweza kumsaidia mtu yoyote.

Silas
siku nyingine ukipata tatizo kama hil usikikimbilie kuformat . Na mtaalam anayekupa suluisho la kuformat kwanza bila kujaribu option nyingine muogope kama ukoma......

Ungerahisisha kazi kama wakati ime corrupt ungetoa HDD ya laptop na kwenda kuipachika kwenye computer/laptop nyingine . Data zako ungezipata kirahisi kisha ukaformat, maana hiyo HDD ingeonekana kama external drive. Virus alichofanya ni corrupt OS tu . Hakukuwa na haja ya kuformat.

Sasa umeformat kazi uliyonayo ni kubwa zaidi.

Always use format is a last option. Wengi wanapenda fortting sababu ni easy but consequnces zake....... Na hata mafundi wasiopenda kuumiza vichwa ndo zao kama end user tu
 
ulipoformat ulitakaje?
Apandacho mtu ndicho avunacho!
Ungeomba ushauri mwanzo kabla hujafanya lolote labda huyo kirusi angetenguliwa kiuno kiurahisi na mafaili yako yote yangekuwa salama.

Kasome saini ya Invisible mara tatu, yaani kwa kurudia rudia. Kisha ipime akili yako based on that.
 
Wataalamu hebu tupeni black and white kuhusu hili la kuformat na kuricover file baada ya kuformat.
Mtaalamu mmoja aliniambia eti ukiformat maana yake umefuta kilakitu na inabaki empty kama ilivyotoka kiwandani, so hakuna chance ya kuricover file zako. ni file zilizo kuwa deleted ndio zinaweza kuwa recoved au zilizo liwa na virus.
Na hata ukidelete file zako kisha ujebkuformat maana yake ni kuwa ulipo format ulifuta trace zote za kukuwezesha kurecover data zako
Naombeni ujuzi wenu kuhusu hili maana kama alivyosema Zing mafundi wa kibongo kwa kuformat ndio wenyewe
 
Silas
siku nyingine ukipata tatizo kama hil usikikimbilie kuformat . Na mtaalam anayekupa suluisho la kuformat kwanza bila kujaribu option nyingine muogope kama ukoma......

Ungerahisisha kazi kama wakati ime corrupt ungetoa HDD ya laptop na kwenda kuipachika kwenye computer/laptop nyingine . Data zako ungezipata kirahisi kisha ukaformat, maana hiyo HDD ingeonekana kama external drive. Virus alichofanya ni corrupt OS tu . Hakukuwa na haja ya kuformat.

Sasa umeformat kazi uliyonayo ni kubwa zaidi.

Always use format is a last option. Wengi wanapenda fortting sababu ni easy but consequnces zake....... Na hata mafundi wasiopenda kuumiza vichwa ndo zao kama end user tu

Nimekupata, ushauri wako ni mzuri sana
 
Wataalamu hebu tupeni black and white kuhusu hili la kuformat na kuricover file baada ya kuformat.
Mtaalamu mmoja aliniambia eti ukiformat maana yake umefuta kilakitu na inabaki empty kama ilivyotoka kiwandani, so hakuna chance ya kuricover file zako. ni file zilizo kuwa deleted ndio zinaweza kuwa recoved au zilizo liwa na virus.
Na hata ukidelete file zako kisha ujebkuformat maana yake ni kuwa ulipo format ulifuta trace zote za kukuwezesha kurecover data zako
Naombeni ujuzi wenu kuhusu hili maana kama alivyosema Zing mafundi wa kibongo kwa kuformat ndio wenyewe

Sio kweli kwamba ukiformat hdd unafuta kila kitu na hdd ina kuwa mpya kama ulivyoitoa kiwandani, ukiformat unafunika tu hayo mafaili, na ukipata program nzuri unauwezo wa kuyafunua na yakasomeka.

Kufuta completely kunaitwa "ERASE" hii huwezi pata kitu chochote, hdd inakuwa mpya!!

KWA ULIYEFORMAT HDD UKIFANIKIWA KUPATA PROGRAM YA KURECOVER FILES ZAKO FANYIA HDD YA PARTION ILI NEXT TIME YASIKUKUTE TENA, e.i files zako zote weka drive D
 
Nadhani ni vizuri tukawa tunapendelea kuzifanyia partion Harddisk zetu i.e C and D. OS unaiweka kwenye partion C na data zako unaziweka kwenye partion D, ili siku nyingine ikisumbua uformat partion C tu, na data zako zitaendelea kuwa kwenye partion D.
 
Nadhani ni vizuri tukawa tunapendelea kuzifanyia partion Harddisk zetu i.e C and D. OS unaiweka kwenye partion C na data zako unaziweka kwenye partion D, ili siku nyingine ikisumbua uformat partion C tu, na data zako zitaendelea kuwa kwenye partion D.

Hapo kwenye red, ulikuwa unamaanisha PARTITION C au linasomeka kama lilivyo?

BTW,ushauri wako ni mzuri nimeupenda. Kutokujua ndiko kunakotufanya tunaharibu sana documents zetu.
 
Sio kweli kwamba ukiformat hdd unafuta kila kitu na hdd ina kuwa mpya kama ulivyoitoa kiwandani, ukiformat unafunika tu hayo mafaili, na ukipata program nzuri unauwezo wa kuyafunua na yakasomeka.

Kufuta completely kunaitwa "ERASE" hii huwezi pata kitu chochote, hdd inakuwa mpya!!

KWA ULIYEFORMAT HDD UKIFANIKIWA KUPATA PROGRAM YA KURECOVER FILES ZAKO FANYIA HDD YA PARTION ILI NEXT TIME YASIKUKUTE TENA, e.i files zako zote weka drive D
Mkuu njia nzuri na salama ya kupoteza Data za kwenye Computer zako na mtu mwingine hasiweze kuzipata tena (recover) ni kutoa HDD nje ya computer yako, kisha kuiweka juu ya kitu kigumu kama jiwe au juu ya kibaraza na kuibamiza na nyundo ya kilo tano kama mara kumi na tano hivi, I mean una hakikisha imesambaratika vipande vipande, hapo ndipo utalala usingizi mzuri kabisa kwa sababu hakuna narudia tena hakuna mtaalam yeyote hatakaye weza kuzirejesha data kutoka kweny hiyo HDD yako.
 
Sio kweli kwamba ukiformat hdd unafuta kila kitu na hdd ina kuwa mpya kama ulivyoitoa kiwandani, ukiformat unafunika tu hayo mafaili, na ukipata program nzuri unauwezo wa kuyafunua na yakasomeka.

Kufuta completely kunaitwa "ERASE" hii huwezi pata kitu chochote, hdd inakuwa mpya!!

KWA ULIYEFORMAT HDD UKIFANIKIWA KUPATA PROGRAM YA KURECOVER FILES ZAKO FANYIA HDD YA PARTION ILI NEXT TIME YASIKUKUTE TENA, e.i files zako zote weka drive D

Tatizo linakuja ni kwamba ali format alafu amefanya installation na bado anaendela kufanya mambo mengine na kusave file mpya.

Sasa may be file XYZ la hapo zamani analotaka kufufua likuwa katika HDD memory space 123.. OK uki format tu unakuwa umefuta link ya OS kwenda kwenye location ilipo ile file ambayo ni 123. Si kazi sana kupata mafile kama HDD imekuwa formated tu.

Lakini sasa ameformat na amefanya intallation. Vipi kama sasa hivi ile memory Adress ya 123 imeshachulikwa na program ya microsot office au application nyingine aliyofanya baada ya kuformat.

Tatizo ni kwamba ukiformat data zinakuwepo lakini unakuwa inaimabia OS inaweza kuandika data sehemu yeyote ile. So kuna data mabazo hawezi kupata sababu nafasi yake imeshachuliwa na mambo mengi . kama kuzipata itacost sana muda na kupata softwareya nguvu sana.


  • It is hard but possible kupata data baada ya kuformat tu

  • It is harder but possible too kupata baadhi ya data baada ya kuformat na kufanya installation ya OS na application nyingine.

So kama bado ana wazo la kufufuaa data zake may be astop kabisa kutumia hiyo latop ili zile storage space ambzo bado hazijachukuliwa na mambo mapya labda zinaweza kupatikana.

Soma pia maelezo kama haya http://www.easeus.com/datarecoverywizard/recover-formatted-partition.htm

unaweza kuipata a kujaribu hiyo sofware hapa http://thepiratebay.org/torrent/5092440/EASEUS_Data_Recovery_Wizard_Professional_4.3.6_%28Retail%29_%5BRH%5D
When to use EASEUS?
â€" Boot-up problems.
â€" Accidental file deletion.
â€" File loss without reason. â€" Hard Drives that have been formatted.
â€" Damage due to a power failure or surge.
......
Tatizo watu tunaamian article tunazosoma online. Sio rahisi kihivyow watu wanvyodahani . na wengi hawajajaribu wanaamin tu kile wanachosoma.

Another advice weka copy ya data zako muhimu online pia kama backup. It is safe kwa secure backup . Tembelea google docs docs.google.com/

Tupe feedback itakuwa vizuri tuweke kwenye record zetu if it worked

NB
ukipenda nikufanyie kazi hiyo nitakucharge kwa saa. Nadhani itachukua about 5-6 hours .though sigurantee kufanikiwa . Unalipia effort sio output. teh teh teh teh. na one hour ni 5,000 tu kwa mtanzania mwenzangu. teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom