Silas Haki
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 368
- 39
Kwanza napenda kutoa pongezi kwa wana JF kwa kutokuwa wachoyo wa kupeana ujuzi hasa new technology.
Juzi nililazimika ku-format computer (laptop) yangu baada ya Spyware kuingia kwenye programs na kuzi-block na hivyo nimepoteza mafaili yangu ya muhimu sana. Je, kuna njia au namna ya kufanya ili ku-recover baadhi ya data zangu? Naomba msaada wa kitaalam wadau.
Juzi nililazimika ku-format computer (laptop) yangu baada ya Spyware kuingia kwenye programs na kuzi-block na hivyo nimepoteza mafaili yangu ya muhimu sana. Je, kuna njia au namna ya kufanya ili ku-recover baadhi ya data zangu? Naomba msaada wa kitaalam wadau.