Wana JF, nifanyeje ku-recover folders and files kwenye computer?

Unaweza kuzipata files zako 100%. Ila inabidi hiyo HDD uwifanye slave(external)
Then ndio utumie recovery software.
Kama upo dar ni pm
 
Wataalamu hebu tupeni black and white kuhusu hili la kuformat na kuricover file baada ya kuformat.
Mtaalamu mmoja aliniambia eti ukiformat maana yake umefuta kilakitu na inabaki empty kama ilivyotoka kiwandani, so hakuna chance ya kuricover file zako. ni file zilizo kuwa deleted ndio zinaweza kuwa recoved au zilizo liwa na virus.
Na hata ukidelete file zako kisha ujebkuformat maana yake ni kuwa ulipo format ulifuta trace zote za kukuwezesha kurecover data zako
Naombeni ujuzi wenu kuhusu hili maana kama alivyosema Zing mafundi wa kibongo kwa kuformat ndio wenyewe

Kudelete haifuti file inaondoa link ya file so lile eneo linakuwa available, kuformat ni much the same ila kuna uwezekano zaidi wa files kuwa overwritten.
Lile eneo ambalo liko available likiandikiwa juu yake file ndo imeenda haipatikani tena kwa method za kawaida, so unapoformat na kuinstall upya Windows uwezekano ni mkubwa kuwa utaoverwrite angalau kipande cha zile file, so inakuwa corrupt.

Kama unataka kufuta file isipatikane tena for security/privacy etc Inabidi ulidelete kisha lile eneo uandike juu yake na random data hiyo ndo kazi ya program kama Eraser Eraser. Hakuna njia inayojulikana ya kurecover file iliyokuwa erased namna hiyo.
 
download software moja inaitwa recuver ( ni free0 instaall kwenye mashine) then recover file zako
 
Nawashukuru wana JF kwa msaada wenu mpaka nimepata mafaili yangu. Big up Michaelpaulz kwa kuokoa jahazi.

Mkuu natumaini unaweza kunisadia software ya data recovery ambayo haihitaji key code kama ulifanikisha, nataka kurecovery data kwenye sd card kabla sijaiformart!
 
Back
Top Bottom