engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Elimu siyo siasa!!!! Ni chuo cha kata na sababu hizi hapa
1) Wanagraduate bila mafunzo ya vitendo
2) Walimu wao wengi wana bachelor au masters degree (Kawaida hawa ni tutorial assistants)
3) wanaoapply hapo wengi ni wasio na matumaini vyuo vizuri hapa TZ
Labda wewe unafikiri chuo ni majengo! La hasha! Chuo ni elimu bora.
Conclusion
UDOM ni chuo cha kata mpaka hapo kitakapokuwa na walimu wenye sifa na wanafunzi bora
nadhani mkuu ungejaribu kufuatilia cv za walimu waliopo pale kwanza then ndio uongee
kwani usemacho kinautofauti mkubwa sana,pili umefika wakati tutoe kutu tulizonazo ktk vichwa vyetu kwani malanyingi tunatumia maji ktk kufikilia na sio bongo
mapinduziiii daimaaaaa
1 ujenzi wake ulifanyika ndani ya muda mfupi
2 kilijengwa ili kukabiliana na wingi wa form 6 leavers waliotokana na mpango wa MMES
3 Ujenzi haujakamilika lakini chuo kimeanza kutumika
4 wengi wa wanafunzi wake ni kutoka familia duni
5 walimu /lecturers ni wachache na most of them ni wale wa voda fasta.
6 ni mojawapo ya mafanikio ya serikali ambayo hutajwa mara kwa mara kwenye sekta ya elimu.
Jaribu kulinganisha hayo mambo hapo juu na mwenendo mzima wa shule za kata,utapata jibu kuwa UDOM ni chuo cha kata!!
Ni Chuo cha kata tu, no way out. Binafsi sikuwahi kuita jina hilo mpaka juzi rafiki ambaye anasoma pale aliponiambia yupo Chuo cha kata. Kuhusu sifa za Walimu wanaofundisha pale hakuna ubishi kwamba wanazo sifa zisizokidhi haja. hata wao wanajua hilo kama una rafiki yako anfundisha pale wasiliana naye kama yupo objective atakwambia ukweli. By the way wanoita Chuo cha kata sio wanaJF pekee ni jamii nzima yenye mashaka na elimu inayotolewa pale
Ndugu zangu ma GREAT THINKERS
naomba niwaulize swali moja tu leo juu ya uhalali wa baadhi ya wapinga maendeleo ya kielimu ktk JF kukiita chuo kikuu cha dodoma kuwa ni CHUO CHA KATA,ningependa kutambuwa ni vigezo vipi wapinga maendeleo ya kielimu hapa JF wanavitumia ktk ku grade UDOM kama chuo kikuu cha kata?
mimi nadhani umefika wakati baadhi ya wapingamaendeleo ya kielimu hapa jf wakubali mchango mkubwa uliotolewa na serikali yetu ktk kukijenga hiki chuo,kwani tutambuwe kuwa ktk Dunia ya sasa bila elimu huwezi kuendelea
May be tubomoe chuo cha UDOM ili kuwaridhisha baadhi ya wana Jf wasiokubali kuwa UDOM ni chuo kikubwa pekee hapa TANZANIA na chenye msaada mkubwa ktk taifa letu kimaendeleo
Wana jf kuna uhalali kweli wa kukiita chuo chetu kikuu cha udom kuwa ni chuo cha kata? ama kwa sababu msingi wake ni CHIMWAGA jengo la mikutano ya CCM? hivyo inatufanya tuendelee kuwa na fikra zile zile za kila siku?
karibuni jamvini
MSEMA UKWELIIIIII HAPENDWIIIII DAIMAAAAAA
mapinduziiii daimaaaaaaaaaaa :target::target:
Kwa mara nyingine nasema wanaoponda UDOM na Mataahira na inabidi wakapimwe akili, wanapelekwa na hisia na chuki na wivu vimewatawala,
nimejaribu kufanya utafiti nikaona wote wanaoponda UDOM ni vilaza especially wanaotoka katika vyuo flani flani ambavyo kwa sasa vinaonekana kufunikwa na UDOM, mdogo wangu amemaliza UDOM kwenye college ya I.T mwaka huu, na alipata multiple admission moja ya UDSM engineering, ila akaamua kwenda UDOM kusoma I.S na miaka yote aliyosoma pale alifanya field na sasa anafanya kazi kwenye kampuni flani kubwa hapa dsm inayotoa huduma za Internet (ISP), na yuko nondo zaidi hata ya dogo wangu mwingine aliyemaliza UDSM Computer Science mwaka jana. Kwa kifupi ukiona mtu mwenye Bachelor kakabidhiwa course afundishe labda anafundisha watu wa Diploma au Certificate, lakini hakuna m2 mwenye Bachelor anayesimamia somo lolote UDOM, zaidi ya kusimamia semina.
Narudia tena nyie mnaoponda UDOM bila kufahamu ukweli ni wanafiki, mataahira, wapumbavu na wazandiki msiopenda maendeleo ya elimu katika nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania, mungu ibariki UDOM.
Hivi nyie mnaokiponda udom mnakunya akili au?
Hamfikirii kuwa kodi zenu mnazokatwa kwenye mishahara
yenu zimechangia kujenga pale?
Badala mjivunie angalau kodi zenu zimefanyia jambo la heri bado linalalamika.
Weka wazi, tutajie huyo mwenye bachelor na anafundisha tumjue na tujue anafundisha course gani?unaoongozwa na jazba mkuu, polepole. Mbona mimi nawafahamu t.a's waliopewa kozi wanafundisha? unaweza kushangaa wewe ndio umepitwa bna wakati. By the way kila mtu anao uhuru wake hapa habari ya kumwambia mtu sijui mpumbavu au taahira na konyesha usivyo mvumilivu wa kukosolewa. Kuwa mstaarabu kidogo
ok tufanye nini sasa ukiwa ni mmoja wa wapingaelimu ndani ya JF SEMA nini kifanyike ili tuondokane na kauri yako isiyoweza kubalika daimaaa?
mapinduziiii daimaaaaa
Sina uhakika na haya,kwani vigezo vipi umetumia kutambuwa uduni wa wanafunzi na familia zao? pia hakuna chuo chochote duniani kimeanza na kuwa na maprof kama walimu,ni lazima uajili then usomeshe,sasa mkuu mimi sikuelewi unapozungumzia vodafasta,sijui wapi wanatowa degree za namna hiyo sijui tupe chuo kinacho andaa walimu wenye degree voda fasta
mapinduziiii daimaaaaaa
Elimu siyo siasa!!!! Ni chuo cha kata na sababu hizi hapa
1) Wanagraduate bila mafunzo ya vitendo
2) Walimu wao wengi wana bachelor au masters degree (Kawaida hawa ni tutorial assistants)
3) wanaoapply hapo wengi ni wasio na matumaini vyuo vizuri hapa TZ
Labda wewe unafikiri chuo ni majengo! La hasha! Chuo ni elimu bora.
Conclusion
UDOM ni chuo cha kata mpaka hapo kitakapokuwa na walimu wenye sifa na wanafunzi bora