Wana jf ndani ya tamasha la ziff

Manyanza

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
9,409
14,155
Habari zenu wana JF?
Kesho ijumaa msanii kutoka Jamaica anayeishi nchini Marekani atakuwa akitumbuiza katika visiwani Zanzibar katika Ukumbi wa Ngome Kongwe, kwa Member yoyote ambaye atakuwepo pale tunaweza kuwasiliana ili tuzidi kufahamiana vizuri, au kwa wana JF mlioko visiwani Zanzibar tuwasiliane, tuma PM nitakupa namba yangu ya simu.
 
weka namba yako hapa..wadada kibao watakutafuta
mi nshwhi kufanya hivi JF ni noumer
 
ivi ni kweli kwamba kiingilio kinatofautiana kwa wazenji na wengineo?
asante kwa mwaliko nasi twakukaribisha bwagamoyo
 
Kiingilio ni 15,000 tu tofauti na sehemu nyingine kabisa
 
Back
Top Bottom