Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,409
- 14,155
Habari zenu wana JF?
Kesho ijumaa msanii kutoka Jamaica anayeishi nchini Marekani atakuwa akitumbuiza katika visiwani Zanzibar katika Ukumbi wa Ngome Kongwe, kwa Member yoyote ambaye atakuwepo pale tunaweza kuwasiliana ili tuzidi kufahamiana vizuri, au kwa wana JF mlioko visiwani Zanzibar tuwasiliane, tuma PM nitakupa namba yangu ya simu.
Kesho ijumaa msanii kutoka Jamaica anayeishi nchini Marekani atakuwa akitumbuiza katika visiwani Zanzibar katika Ukumbi wa Ngome Kongwe, kwa Member yoyote ambaye atakuwepo pale tunaweza kuwasiliana ili tuzidi kufahamiana vizuri, au kwa wana JF mlioko visiwani Zanzibar tuwasiliane, tuma PM nitakupa namba yangu ya simu.