Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,393
Kwa niaba ya wale wenye tatizo kama la kwangu naomba mnisadie yafuatayo.
(1)Sijui namna ya kupost picha ndani ya JF
(2)Sijui namna ya kuweka picha katika jina ninalolitumia,kwani naona wenzagu wameweka hata vinyago,inavutia sana.
Ni vema nijulishwe,mficha uchi hazai !
(1)Sijui namna ya kupost picha ndani ya JF
(2)Sijui namna ya kuweka picha katika jina ninalolitumia,kwani naona wenzagu wameweka hata vinyago,inavutia sana.
Ni vema nijulishwe,mficha uchi hazai !