Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,563
- 21,517
Hebu ngoja nikumbuke nikutumie linkSawa sawa Asante Sana....
Kumbuka kumbuka jina mkuu nitafute huo uziiii...
Hebu ngoja nikumbuke nikutumie linkSawa sawa Asante Sana....
Kumbuka kumbuka jina mkuu nitafute huo uziiii...
Jina tu Lee SwaggerSifa nyingi Sana ndio ztakuponza Kama dreva keyboard ya computer ya nn +technology?? Ngoja tuone kazi yako ipi upewe na sifa hzo
Sawa Mkuu....Bro una sifa tele kwenye kada yako mpaka nahisi waajiri wanaogopa kukuajiri. Tafuta chance uingie jeshi lolote kwa sifa zako hizo unaweza kuwa MTU mkubwa sana
Mkuu hilo ni jina Muigizaji tuu halihusiani na tabia yangu.Jina tu Lee Swagger
Mwanangu una CV ndefu mpaka watu wanaogopa kukuajiri![]()
![]()
, mwajiri atakuwa anajiuliza "huyu kijana nitaitoa wapi pesa ya kumlipa kulingana na hii CV yake!!!?"
Sawa sawa mkuuTafuta watu wenye magari madogo mengi kwa ajili ya UBER

Nimemshauri last time kuhusu hilo, upo sahihi.Sifa nyingi Sana ndio ztakuponza Kama dreva keyboard ya computer ya nn +technology?? Ngoja tuone kazi yako ipi upewe na sifa hzo
Panga maelezo vigezo vyako vionekane, jieleze kwa kifupiMkuu sikuhizi waajiri wanaangalia uwezo mbali mbali. Mbali na udereva pia personal Secretary, Office Admin pia nazimudu....