Wana JF leo yamenikuta

Alianza Tatty kuaga kwa style hii hii ya sintofahama na yeye akionyesha yaliyomkuta huku JF ni mazito na inabidi akimbie sasa hiv ni huyu Bushland naye akiaga kwa style ile ile hasemi nini kimemkuta ni anakimbia kimbia tu...Nini kinawakuta hawa watu tena inaonekana maswahiba hayo yanawatokea kwa siri..
 
Post/thread za kipuuzi kama hizi nii zakufutwa kabisa.haina mantiki yeyote.
 
Pole sana bushland. Mungu akupe uvumilivu ktk kipindi hicho kigumu unachopitia.

Ila ungetueleza hata kwa kifupi kile kilichokusibu. But hata hayo yatapita pia....it can't be the end of the world. Maisha yataendelea

hapa mtaani kwangu kuna mwanaume amejinyonga muda huu.
sasa na wasiwasi usikute ndo huyu bushland embu ngoja nkafanye uchunguzi kwa ndugu wa marehemu alafu ntaleta mrejesho kama ni yeye au si yeye

Jaribuni kufuatilia post na replies za huyu mtu mtajionea huruma nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…