Baba Jotham
Member
- Mar 6, 2012
- 84
- 40
Hapo kuna 10% ya Blandina kwa kila mgonjwa anaingia ile hospitali. Kwa hiyo hata kama Pinda kamuweka bench BNyoni lakini bado anavuta mkwanja wake toka kwa wahindi.
So u mean ni kaishu cha wakubwa?
Hapo kuna 10% ya Blandina kwa kila mgonjwa anaingia ile hospitali. Kwa hiyo hata kama Pinda kamuweka bench BNyoni lakini bado anavuta mkwanja wake toka kwa wahindi.
ni swala la ubora na unafuu wa gharama za tiba.
Hapo kuna 10% ya Blandina kwa kila mgonjwa anaingia ile hospitali. Kwa hiyo hata kama Pinda kamuweka bench BNyoni lakini bado anavuta mkwanja wake toka kwa wahindi.