Nyani, mimi mgumu wa kukasirishwa na comment, lakini nakasirishwa kirahisi na comment kutoka kwa mtu ambaye unategemea ubongo wake umetulia na ghafla unaanza kuona majidubwasha yenye manyoya yakifyatuka bila sababu kutoka kwao.
In all senses, can't someone see that this thread is about brazameni and what is expected of him over the weekend... ama kweli watu wengine naamini sasa kuwa no matter how they try and conceal their loathly ways, the truth always comes out... Like you say, somewhat this is just HATE!
SteveD.