This user has not registered and therefore does not have a profile to view.
Ha ha ha pastor kafutwa kabisa jamvini, hii kali, tena bila maelezo. Mimi nilivyoona yupo kimya nilihisi ni mmoja wa viongozi wa Deci, kumbe aha!
Bwa ha ha ha...
Wazee naona mnatimbanga kinyama...lol..Sijatangulia mbele za haki wala sijenda vua samaki Pemba mazee.
Ni mabadiliko tu ya ID mazee..tuendelee kukata ishu.
Ma'salama
Nziku acha bwana ....hiyo kwenye bold ni possible but ndo na JF apotee kiasi hicho.....i.e hata ukijaribu kuitafuta post yake mojawapo huioni....labda member mwingine awe alimquote....!
Mkuu viongozi wa Deci wapo lupango hivyo hawawezi ku-access mtandao...
Bwa ha ha ha...
Wazee naona mnatimbanga kinyama...lol..Sijatangulia mbele za haki wala sijenda vua samaki Pemba mazee.
Ni mabadiliko tu ya ID mazee..tuendelee kukata ishu.
Ma'salama
Mkuu Abdulhalim acha utani sema kama kweli ni wewe, Mtindio alikuwa rafiki yangu so, kama ndiwe poa.
Kwa nini unawaulizia?
Kichuguu
Kuhani
Dilunga
Pundit
Kiranga
Mkuu Mzee Mwanakijiji
Dua
Choveki
Defunkdelic or somethin....
Mkuu Mzee Kyoma
.....na Wakuu wengine tafadhali msipotee.........Taifa linawahitaji......kwa saana tu
Kichuguu
Kuhani
Dilunga
Pundit
Kiranga
Mkuu Mzee Mwanakijiji
Dua
Choveki
Mwiba
Defunkdelic or somethin....
Mkuu Mzee Kyoma
Kada Mpinzani
sam.....na Wakuu wengine tafadhali msipotee.........Taifa linawahitaji......kwa saana tu