Kuna jamaa hapa walikuwa wanashuka shule za sheria mpaka........unasema basi.....mfano Mkuu Mwendapole, Mushobozi............
Kuna jamaa alikuwa anjiita Eric Ongara, Tibwilitibwili, Babu Ubwete..........ilikuwa ni nondo tu hapa JF..........come on guys....come back