Hali si hali ni balaa tupu kama unavyo ona wana CCM wanasema ni JK pekee na kule Bunge linasema ni huyu jamaa pekee na security nk wanasema lazima jamaa awe yeye .Naangalia tu sasa
Mimi nipo sana ila lately JF ilivamiwa na boom la habari za Rostam na Mengi, hizi huwa siziwezi kuchangia. Huwa nazisoma tu. Jamvi hili hatuwezi kulitupa. Btw, tusisahau kuwakilisha michango yetu kwa ajili ya JF.
Mimi nipo sana ila lately JF ilivamiwa na boom la habari za Rostam na Mengi, hizi huwa siziwezi kuchangia. Huwa nazisoma tu. Jamvi hili hatuwezi kulitupa. Btw, tusisahau kuwakilisha michango yetu kwa ajili ya JF.
Mkuu, kama hutajali swali langu, hebu tumegee sababu zako za kushindwa kuchangia katika mijadala kuhusu habari za hao jamaa ambazo hivi karibuni ziliitikisa serikali ya Tanzania.
Mkuu, kama hutajali swali langu, hebu tumegee sababu zako za kushindwa kuchangia katika mijadala kuhusu habari za hao jamaa ambazo hivi karibuni ziliitikisa serikali ya Tanzania.