Wana Jf Hacheni Upendeleo

Duuuh! Umeanza kwa lawaama au unautafuta umaarufu
 
Ha ha ha haaaa...Nyie warangi hamjambo?

Sasa payuko la nini ?
Ukishajua warangi!
What next ?
Kuna fungu limetangazwa la mshindi wa kwanza unapata au?
Wale wanaosemwaga na waungwana kwamba "...........akikukuta unakata gogo kalia!" si ndiyo nyie ?
Au nnakosea?
 
Sasa payuko la nini ?
Ukishajua warangi!
What next ?
Kuna fungu limetangazwa la mshindi wa kwanza unapata au?
Wale wanaosemwaga na waungwana kwamba "...........akikukuta unakata gogo kalia!" si ndiyo nyie ?
Au nnakosea?

kama ulikuwa unaona ni issue sana for mie kusema nyie warangi, then usingeandika hapo kilugha, na kosa la kusema hivo ni nini?
mbona busara huna mkuu?lugha yote hiyo ya kejeli umepata nini?
i reserve my comment for huu ***** ulionijibu. sorry kama hukupenda, n better ungeni-pm kama hukupendezwa na nilivo-comment.
 
ulisema?
lakini pia wewe uwa una huo utaratibu kwa wenzio zinapofika birthday zao?
pole mwaya HAPPY BELATED BIRTHDAY!
 
ulisema?
lakini pia wewe uwa una huo utaratibu kwa wenzio zinapofika birthday zao?
pole mwaya HAPPY BELATED BIRTHDAY!

Ilo nalo neno Mkuu, ila Invisible hajatuwekea sehemu ya kutukumbushia hii kitu
 

HBD and all the best wishes from JF. Hata FB inareminder...
 

bojo otuganyile,waitu Ta Kamugisha wakihyukao!
 
Last edited by a moderator:
https://www.jamiiforums.com/member.php?u=43991

Oh! pole sana mkuu na hongera kwa kuzaliwa upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…